Nzoka yihenge
Member
- Jan 14, 2011
- 46
- 29
Wana JF, Jana nimepanda bus la Green Star nililoamini ndo bus lenye ubora na kiwango, sikuamini macho na masikio yangu tokea ubungo lilivyokuwa likiendelea kutoa kelele ktk diff yake na hatimaye tulipofika maeneo ya Gairo bus hilo likashindwa kuendelea na safari . nililazimika kutafuta usafiri mbadala.Natoa angalizo kwa wamiliki wa Buses kuwa wanafanyia service magari yao na sio kukusanya pesa tu.