Somalia sio masikini kabisa, utahsangaa data zao zimekaa bora kuliko za Tanzania. Ila the last timr I checked Congo (DRC) ilikua ndio imeshika mkia. Sasa sijui hizi za Burundi kua ya mwisho kazitoa wapi. Labda atuwekee source.
Hata ikiwa ni kweli, sioni kwanini nchi iunganishwe na nchi zingine maskini. They will just drag the better off country down to their level maana na hizo zinazoonekana less poor are relying on aid.
burundi wamekuwa kwenye vita vya kupinduana miaka yote, mpaka sasa uhasama bado upo. Alafu hawana rasilimali yoyote ya kueleweka kwamba itawaongezea mapato zaidi ya kufuga wale ngombe wenye pembe zenye uzito mkubwa kuliko the rest of the body. Sasa tz miaka yote ya kutulia, ardhi yote,madini,mbuga za wanyama, maziwa,bahari, natural forests zote tunakuwa nafasi ya 22 kutoka mwisho unaona fahari?
Mkuu umesisitiza kuhusu muungano na ndicho EAC inakifanya. Au unataka wajiunge vipi tena?
Kwani wewe bwana mkubwa ukiwa masikini wa fedha utajiua?
una mawazo mgando!!!