Buriani osiah rajabu wa kimara butcher

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,139
Wapendwa napenda kutoa pole kwa nduguwa ndugu yetu alietutoka majuzi uko india akiwa matibabu
bw osiah rajabu..ni jiran yangu kijana aliekutana na miale ama mapigo ya dunia akiwa mdogo sana ndan ya miaka 30
alipatwa na ugonjwa wa figo 5yrs a go wakaanza ndugu ubadilisha mwisho ndugu wakaisha wakaoanza kununuliwa watu kumtolea figo..ni ijumaa tu aliwekewa figo ya kijana mmoja toka tanga kwa bei kadhaa
jumapili ndugu yetu mauti ikamkuta

Naomba niwape pole ndugu na marafiki wote kwa wakati huu mgumu wakisubiri maiti toka INDIA inayotarjiwa kufika jumatano ya wiki hii saa nane na QATAR AIRWAYS..pole sana dada wa marehemu Anna alikuwa wa kwanza kumtolea mdogo wake Figo..Mungu ndie mweza yote

Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe...
 
Wapendwa napenda kutoa pole kwa nduguwa ndugu yetu alietutoka majuzi uko india akiwa matibabu
bw osiah rajabu..ni jiran yangu kijana aliekutana na miale ama mapigo ya dunia akiwa mdogo sana ndan ya miaka 30
alipatwa na ugonjwa wa figo 5yrs a go wakaanza ndugu ubadilisha mwisho ndugu wakaisha wakaoanza kununuliwa watu kumtolea figo..ni ijumaa tu aliwekewa figo ya kijana mmoja toka tanga kwa bei kadhaa
jumapili ndugu yetu mauti ikamkuta

Naomba niwape pole ndugu na marafiki wote kwa wakati huu mgumu wakisubiri maiti toka INDIA inayotarjiwa kufika jumatano ya wiki hii saa nane na QATAR AIRWAYS..pole sana dada wa marehemu Anna alikuwa wa kwanza kumtolea mdogo wake Figo..Mungu ndie mweza yote

Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe...

Aaamen!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom