Ni siku ya ijumaa tulimzika huyu mzee wetu huko Sae mkoani Mbeya..Emilio alikuwa baba,mwanazuoni,mwanaharakati na kiongozi mwandamizi ktk chama cha wafanyakazi mkoani Mbeya..Mzee Emilio aliipigania haki na kweli ktk jamii yake hakika wana Sae na Mbeya hatutakusahu..Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe Amen..