Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 59
kwa kweli Watanzania wote kwa ujumla nadhani tutakuwa tumeipokea habari hii kwa majonzi na masikitiko, Amina alikuwa bado mdogo sana na alikuwa ndio kwanza anaanza kutafuta mafanikio... pia marehemu ameacha mtoto mdogo ambaye nadhani ana umri wa miaka 4 tu bila ya mama ni ngumu kwa kweli.
Watanzania wenzangu wote ambao tulimsema Amina kwa mabaya inabidi tuombe hata kimoyo moyo atusamehe cos hakuna mtu aliye msafi hapa duniani kila kiumbe ambacho kipo hai na kinatembea kina madhambi/mapungufu yake.
Huu sasa ni wakati wa kumuombea marehemu m/mungu ailaze roho yake mahari pema peponi na si kuanza kuendelea kumsema au kumtafuta mchawi.... hakuna mchawi m/mungu amekitaka kiumbe chake na hatuna budi kuukubali ukweli.
mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu dada yetu Amina chifupa Mpakanyia mahali pema peponi. Amin.
Watanzania wenzangu wote ambao tulimsema Amina kwa mabaya inabidi tuombe hata kimoyo moyo atusamehe cos hakuna mtu aliye msafi hapa duniani kila kiumbe ambacho kipo hai na kinatembea kina madhambi/mapungufu yake.
Huu sasa ni wakati wa kumuombea marehemu m/mungu ailaze roho yake mahari pema peponi na si kuanza kuendelea kumsema au kumtafuta mchawi.... hakuna mchawi m/mungu amekitaka kiumbe chake na hatuna budi kuukubali ukweli.
mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu dada yetu Amina chifupa Mpakanyia mahali pema peponi. Amin.