BUNGENI: Wenje amlipua Membe; yeye atoa onyo kwa mabalozi!

Hakika ni kichekesho maana hicho kinachoitwa kulipua ni upuuzi mtupu maana kila tukiangalia hakuna jipya zaidi ya yale ambayo tumezoea kuyasikia na mengine ni yale ya wale wapinzani wake kama issue ya shamba la Arusha ambalo tukio lake lilitokea mwaka 1986 wakati huo Membe akiwa ni mtumishi wa kawaida wa serikali. Hivi unaposema hela iwekwe kwenye escrow account, ana maana gani? Anajua Escrow Account matumizi yake huwa ni vipi? Kwa bahati mbaya sana wakati anaongea hili, bunge la Uingereza na serikali vimeshaiamuru BAE walipe fedha hizo haraka serikalini.Mimi nashangaa mtu kulalamikia ziara za nje wakati hiyo ni sehemu ya ushirikiano wa kimataifa na linafanywa na kila nchi. Kwani Marekani inapotuma rais au waziri wake wa mambo ya nje kote duniani anatembeza bakuli? Ninachokiona hapa ni ama upeo mdogo wa shughuli za kimataifa au ni kutumiwa katika siasa za amji taka.
unalinganisha safari za nje za Usa na Tz wale wanakwenda kuangalia miradi yao ya uwekezaji kikwete anaomba kwa wanaume wenzake kila mwaka !
 
..suala hili si la kuachiwa wizara ya maliasili na utalii peke yao.

..wizara ya mambo ya nje inapaswa kuingilia kati ukizingatia kwamba hujuma hiyo imehusisha raia wa/taasisi ya nchi nyingine, Qatar.

..waziri Membe anapaswa kuwa mstari wa mbele kufuatilia na kuhakikisha kwamba wanyama wetu wanarudishwa toka Qatar, au hata tunalipwa fidia stahiki.

..natarajia wabunge wa CDM watambana waziri Membe atoe msimamo wa serikali kuhusu tukio hili la kihalifu kuna dalili kwamba serikali/raia wa Qatar wamehusika.
 
..suala hili si la kuachiwa wizara ya maliasili na utalii peke yao.

..wizara ya mambo ya nje inapaswa kuingilia kati ukizingatia kwamba hujuma hiyo imehusisha raia wa/taasisi ya nchi nyingine, Qatar.

..waziri Membe anapaswa kuwa mstari wa mbele kufuatilia na kuhakikisha kwamba wanyama wetu wanarudishwa toka Qatar, au hata tunalipwa fidia stahiki.

..natarajia wabunge wa CDM watambana waziri Membe atoe msimamo wa serikali kuhusu tukio hili la kihalifu kuna dalili kwamba serikali/raia wa Qatar wamehusika.

ndege ilitua ni ya kijeshi mbona we mnazi hukuliuliza hilo swala wakati huo wakati ndege yakijeshi iliyetuwa nchini huku hofu kuvamiwa au umepokea posho kabla ya kuja kupost zejungu?
 
Mzalendo said:
ndege ilitua ni ya kijeshi mbona we mnazi hukuliuliza hilo swala wakati huo wakati ndege yakijeshi iliyetuwa nchini huku hofu kuvamiwa au umepokea posho kabla ya kuja kupost zejungu?

Mzalendo,

..asante kwa kupanua wigo wa mjadala huu.

..waziri wetu wa Ulinzi pia owes us an explanation kuhusu ndege ya jeshi la Qatar kutua na kuondoka na mzigo wa wanyamwa wetu[nyara za taifa].

..ni mategemeo yangu kwamba waziri wa ulinzi naye atabanwa atoe maelezo ni nini kilichotokea pale. je alikuwa na taarifa? alichukua hatua gani yeye na watu walio chini ya mamlaka yake?

..hili si jambo dogo ktk mahusiano ya kimataifa, labda umasikini na unyonge wetu ndiyo unaotufanya tukae kimya.

..kwa hapa tulipofikia, na ukizingatia kwamba wanyama waliobiwa wako Qatar, waziri Membe ana nafasi kubwa ya kulipatia ufumbuzi suala hili.

NB:

..hivi Qatar wana ubalozi Tanzania?
 
JF full ccm..... DUME LA MBEGU,,,, SALIMIA,, JEYKEY......... wamelipwa na ccm.... aibu kwa mtu mwenye elimu kuwa kuwadi!!!!!!!!!!!
 
Hakika ni kichekesho maana hicho kinachoitwa kulipua ni upuuzi mtupu maana kila tukiangalia hakuna jipya zaidi ya yale ambayo tumezoea kuyasikia na mengine ni yale ya wale wapinzani wake kama issue ya shamba la Arusha ambalo tukio lake lilitokea mwaka 1986 wakati huo Membe akiwa ni mtumishi wa kawaida wa serikali. Hivi unaposema hela iwekwe kwenye escrow account, ana maana gani? Anajua Escrow Account matumizi yake huwa ni vipi? Kwa bahati mbaya sana wakati anaongea hili, bunge la Uingereza na serikali vimeshaiamuru BAE walipe fedha hizo haraka serikalini.

Mimi nashangaa mtu kulalamikia ziara za nje wakati hiyo ni sehemu ya ushirikiano wa kimataifa na linafanywa na kila nchi. Kwani Marekani inapotuma rais au waziri wake wa mambo ya nje kote duniani anatembeza bakuli? Ninachokiona hapa ni ama upeo mdogo wa shughuli za kimataifa au ni kutumiwa katika siasa za amji taka.
Mkuu website ya ikulu imeshasimama vizuri??

Utetezi wako ni wakipumbavu na ni mpumbavu pekee anayeweza kutetea upumbavu, ujuha na upuuzi
 
unalinganisha safari za nje za Usa na Tz wale wanakwenda kuangalia miradi yao ya uwekezaji kikwete anaomba kwa wanaume wenzake kila mwaka !
americans are busy strategizing life beyond the current political, financial and allies, jamaa baada ya sisi kupiga mbinja ya africom wao kwa afari zao wakaweka base german (yes!!) na wanaexecute kila kitu kama kilivyopangwa, sisi mtu anaenda kuzunguka hadi kwenye vimikutano vya SME's paris

hatuwezi kulinganisha safari hata za senator wa marekani na baadhi ya viongozi wetu akiwamo rais wangu
 
Akiwa London kwenye ile mikutano ya Diaspora aliulizwa foreign policy ya Tanzania akaanza kujichanganya. Akaanza kueleza pillars za foreign policy yetu. Alipo mention democracy akauliza nini msimamo wa Tanzania kuhusu Ivory Coast (wakati issue ya Ivory Coast ndio ilikuwa umepamba moto) akakwepa kiana. Akasizitiza human rights protectiion, bila hata kujua wiki ile ile Kikwete alikuwa South Afrika ku abolish SADC Human Rights Tribunal. Mwisho akaishia tuu kusifia foreign policy za utwala wa Nyerere.



Ni lazima akubali kwenye foreign policy kunahitaji Radical reform.Ndiyo maana Membe anatoa majibu ya zimamoto,pengine i will give him the ideas,Hatuwezi kukimbizana na diplomasia ya kuomba na kushukuru kama tafsiri ya Diplomasia ya Uchumi,no it cannot work.Ni lazima tuchukue hatua.
Our foreign policy shold be objective,some parameters should be used as an essence

FOREIGN POLICY ACTORS

The policy actors in this immense task are both internal and external to the foreign ministry. Although it is primarily a foreign ministry affair, it should be mentioned that internal actors such as the president, the foreign minister, ambassadors and embassies abroad, the press and the business community are all active players in the foreign policy formulation process. The role and place of our embassies should be redefined. A dynamic and performance-oriented foreign policy leaves no room for amateurism like in the past. Our ambassadors and embassies should sit up and live up to national expectations. Tanzania's foreign policy has to produce results for the country and its citizens. The training program for our diplomats should be reviewed to give them the necessary knowledge to practise the art and science of diplomacy because they are at the frontline of our foreign policy.


Our vital national interests have to be redefined. Does Africa still represent the cornerstone of our foreign policy when we have more respect from other countries than we get from African nations despite our whole-hearted commitment to them? If yes, what are the benefits we get from the choice? If the response is no, then we should reorient our foreign policy towards more profitable ventures like economic, scientific, cultural and technical cooperation with more advanced countries including Asia.


The economic development and well-being of Tanzania should henceforth be the mainstay of our foreign policy. We should revive and reinforce what was termed economic diplomacy by Hon'ble minister. For instance, why would we continue to sit aloof and see Kenyans lay claim on Tanzania's territory? In the name of African unity and good neighborhood, Tanzania has sacrificed a lot and continues to sacrifice for our continent. That is praiseworthy but most southern African countries have forgotten the sacrifices made by Tanzania to bring them out of their woes. Some other countries have forgotten the loss of lives by Tanzania soldiers in their efforts of liberation struggle and and in defending unity and peace in these countries. Though Africa should not be forgotten, Tanzania's interests should come first in all our foreign policy analysis and decisions. "Right now, we are becoming the United States of EAC at very great cost to us. We think this is unaffordable to us now". Tanzania's needs are enormous.


Regarding important sensitive internal policy issues that would have effect on our foreign policy, a decision-making forum comprising Presidential Advisers, top-level officials from the Ministries of Foreign Affairs, Defense, Internal Affairs, Justice, Economy and Finance, inter alia, should meet to discuss and access them with a view of defining a coherent policy. Officials from the Tanzanian Institute of Diplomacy and International Affairs, the need for National Institute for Policy and Strategic Studies and the National Institute for Advanced Legal Studies is at stake and experts should be invited to give expert opinion on such issues in order to avoid the diplomatic blunders Tanzania should therefore precisely define in policy terms what it's cultural policy is and what it aims to achieve outside the country. What does cultural cooperation with foreign countries imply?


Does it simply mean encouraging foreign artists to organize tours in Tanzania or foreign countries to establish flourishing cultural and language centers in Dar Es Salaam, Mwanza, Arusha and elsewhere in the country? Where in the world does Tanzania have a cultural centre worthy of its title? In the field of defense, what is our defense policy? Does it simply mean protecting the external and internal territorial integrity of the Tanzania? Protecting the integrity of the country against who? In short, who are our enemies and who are our friends? What type of relations should we have with all our Portuguese(Mozambique), Belgium(DRC) and French-speaking neighbouring countries considering that all of them have over thirty years old defense and military pacts with France, one of the world's leading military and industrial powers?


Tanzania and its citizens abroad, what does the country intend to do to make them contribute in their own way to the economic, cultural, scientific and technological development of the country? In certain African countries, citizens residing abroad vote and take active part in political activities. What would Tanzania do to encourage its democracy to evolve toward such an objective? Tanzania living abroad should be encouraged to have closer relations with the motherland. Diaspora role is not satisfactory. Tanzania's foreign policy should include all these actors for a more global approach to policy issues than in the past.


In Tanzania's case, we have voluntarily or unconsciously restricted most vital foreign policy decisions or diplomatic initiatives to the African continent since we do not seem capable of going beyond Africa or if happens then not exactly Economy Diplomacy instead we practice begging and appreciation Diplomacy. We should no longer be satisfied with our fictional "peaceful giant of Africa and role player in African Diplomacy" image and watch other African diplomatic "giants" like South Africa and Egypt work hard to get a name and maintain their place within the international arena.


FOREIGN POLICY OBJECTIVES


The scope of Tanzania's foreign policy should no longer be limited to continental affairs. Its should be focused world-wide and geared toward the promotion of our cultural heritage, and scientific, economic and technical cooperation with viable partners. Its goal should aim at enhancing our national development, and military arrangements with NATO countries in order to give peace a permanent character in our societal needs and our sub-region. Finally, Tanzania foreign policy should aim at creating benefits for the betterment of the people. It should no longer focus on Africa without clearly defined policy objectives.


Such a policy shift would mean a very careful choice of external actors. Although I would not advocate dropping Africa, Tanzania needs to make a careful choice of our closest allies based not on the wealth or technological advancement of the partner but on Tanzania's vital national interests in the cultural, economic, political, scientific and technical areas as well as in the military field. A commission comprising diplomats, top-level military officers, university professors and politicians should be set-up to review our foreign policy objectives and to redefine our vital national interests. Its mandate should be short and precise. These interests should be made the fundamental guidelines of all our foreign policy objectives in Africa, the European Union, America - North and South, Asia and the Pacific. Tanzania's foreign policy objectives should henceforth focus on the benefits of such policy for its people. President Kikwete's task and his successor would be to make the ordinary Tanzania feel the positive effects of the government on his or her life.


At another level, Tanzania's foreign policy should encompass a clear opinion and strategy on major international issues such as the reform of the United Nations, bilateral relations between Tanzania and members of the European Union outside the ACP-EU framework, discussions with the dynamic Asian economies on how best to boost their investment in Tanzania, how to make G7 governments encourage more foreign capital flows to the vital areas of our economy through a liberal foreign investment policy. Lastly, as a representative of Africa at large, Tanzania should campaign strongly to get admitted as a permanent member of the Security Council. These achievements would make the ordinary Tanzania realize the usefulness of the country's foreign policy in real, not abstract terms.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Akitoa ufafanuzi juu ya swali alilouliza Mbunge wa Lindi Mjini alilouliza kwamba Mh Membe hakutamka chochote kwenye hotuba ya makadirio ya Bajeti ya Wizara yake juu ya Tanzania kujiunga na OIC! Mh Membe alijibu kwamba Serikali haina jibu lolote kwa sababu suala hilo liliahirishwa hadi mwakani, 2012!
My take: Kama Membe anataka kugombea Urais, 2015 ili aendeleze "Islamic Agenda" aliyokuwa nayo JK, asahau kabisa urais mwaka 2015! Nawasilisha kwa mjadala!
 
Akitoa ufafanuzi juu ya swali alilouliza Mbunge wa Lindi Mjini alilouliza kwamba Mh Membe hakutamka chochote kwenye hotuba ya makadirio ya Bajeti ya Wizara yake juu ya Tanzania kujiunga na OIC! Mh Membe alijibu kwamba Serikali haina jibu lolote kwa sababu suala hilo liliahirishwa hadi mwakani, 2012!
My take: Kama Membe anataka kugombea Urais, 2015 ili aendeleze "Islamic Agenda" aliyokuwa nayo JK, asahau kabisa urais mwaka 2015! Nawasilisha kwa mjadala!
Waislam waelewe hiyo ndiyo imetoka wasubiri tena 2015 maana wenzetu huwa wanaishi kwa mkate wa ahadi mwisho watastukia wako karne ya 23 na OIC wasiione.
 
nimejikuta nacheka sana peke yangu........kaka umesema ukweli mtupu.....huyu mpopo ni mbishi sana....huyu pamoja na jk wanaamini kuwa kuzurura nje ya nchi ni moja ya mafanikio katika nchi na ndiyo maan wakenya wansema hivi juu ya jk "Tanzania’s Jakaya Kikwete, re-elected to a second term last year, will step down in four years. Hobbled with the reputation of a lazy, foreign-trip-loving president who is soft on corruption, Kikwete seems to be busy sprucing his image

ameongea kwa hisia kali sana hata mimi nilitaka nimreply na nimpe ka thanx lkn nikaruka, sikupenda kuwaonesha mods ramani ya ban
 
Waislam waelewe hiyo ndiyo imetoka wasubiri tena 2015 maana wenzetu huwa wanaishi kwa mkate wa ahadi mwisho watastukia wako karne ya 23 na OIC wasiione.
OIC = Organization of "Islamic" Conference, sasa Wakristo wanahusikaje hapa?
 
Sijui kwa nini watu mnapenda kumtaja Membe kuhusiana na urais 2015? Jamani!...Jamani!.... Membe si miongoni mwa watu wanaoweza kuisaidia nchi kuondokana na matatizo makubwa yaliyopo japokuwa nakiri anawezakuwa miongoni mwa magamba wanaovizia ulaji Ikulu. Nawashauri watanzania wajifunze kutokana na makosa waliyoyafanya kwa kumchagua JK na wanamtandao wenzake. Angalieni viongozi wanaofanya kazi zao vizuri na kuonesha nia safi kwa taifa lao kisha mpendekeze kwa kuwaomba wagombee na si kuangalia miongoni mwao nani anataka pasipo kujali kama wapo wengine wenye uwezo au la.
Nakumbuka kabla JK kupata tiketi ya CCM mwaka 2005 baadhi ya watu walipendekeza Magufuli agombee lakini jamaa kwa tamaa zao wakamchafua kwa kashfa ya uuzaji wa nyumba na pengine ikachangia kumkatisha tamaa. Naamini tuliodhani Magufuli anafaa tulitazama rekodi yake pale anapopewa majukumu na si sura wala ushabiki wa watu wanaojiandaa kupata nafasi hiyo badala ya kuisaidia nchi kwanza ili tuone wanafaa.
 
Sijui kwa nini watu mnapenda kumtaja Membe kuhusiana na urais 2015? Jamani!...Jamani!.... Membe si miongoni mwa watu wanaoweza kuisaidia nchi kuondokana na matatizo makubwa yaliyopo japokuwa nakiri anawezakuwa miongoni mwa magamba wanaovizia ulaji Ikulu. Nawashauri watanzania wajifunze kutokana na makosa waliyoyafanya kwa kumchagua JK na wanamtandao wenzake. Angalieni viongozi wanaofanya kazi zao vizuri na kuonesha nia safi kwa taifa lao kisha mpendekeze kwa kuwaomba wagombee na si kuangalia miongoni mwao nani anataka pasipo kujali kama wapo wengine wenye uwezo au la.Nakumbuka kabla JK kupata tiketi ya CCM mwaka 2005 baadhi ya watu walipendekeza Magufuli agombee lakini jamaa kwa tamaa zao wakamchafua kwa kashfa ya uuzaji wa nyumba na pengine ikachangia kumkatisha tamaa. Naamini tuliodhani Magufuli anafaa tulitazama rekodi yake pale anapopewa majukumu na si sura wala ushabiki wa watu wanaojiandaa kupata nafasi hiyo badala ya kuisaidia nchi kwanza ili tuone wanafaa.
Membe ni chaguo la JK ndio maana anatajwa! So far kuna makundi 3: 1. Ikulu (Membe), 2. Lowasa, 3. CCJ (Sita).
 
Membe watu wanakupamba kwa uraisi 2015 jiandae kwa mawili kuupata au kuukosa
 
Back
Top Bottom