Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Hapo penye rangi nadhani ulitaka kusema weak? Rudi darasani au tumia lugha ya Taifa siyo kukurupuka tu
Umeona week akiwa amekosea kusema weak na wewe kule juu umekosea na haraka zako aa kurusha matusi mbona hakuna aliye highlight ? Tumieni akili .Membe hawezi kuwa Rais never hana uwezo we know him.Tumefanya naye kazi .Ni mdhalimu sana ana beef na ma balozi wanao onyesha kuibana CCM na udhalimu wake .Hawezi hata iweje .