Bungeni: Waziri Membe aiponda taarifa ya Wenje aihusisha na JamiiForums

Binafsi siku nilipoigundua tu JF, nikatafuta na modem kabisaaa ili nifuatilie mambo ya nchi yangu kwa upana zaidi. Mwakyembe na Membe ni mfano tu, ila NADHANI hakuna mwanasiasa hapa Tanzania asiyetupia jicho hili jamvi. Maana hapa unaambiwa ukweli ulivyo japo wengi hawapendi. Msisahau viongozi wetu wengi ni waborongaji kwa kiwango fulani, halafu hawapendi kukosolewa. Ila naamini wameshaanza kuzoea kukosolewa bila kuonewa aibu, na hii itawajenga sana kisiasa maana walizoea kukosoana kishikaji kwenye vikao vyao vya kichama. JF bhana ni full doze, kasoro sawa zipo, lakini huwezi ukapuuza mchango wa JF kwa siasa za Tanzania mijini hasa kwa hivi karibuni. Nadhani ndo maana ccm inapata taabu mijini maana watu uelewa wa mambo ni mkubwa.
 
mimi nafurahi kuona kuna viongozi wanapita hapa jf naamini kuna idea fulani wanazipata humu

Rais Zuma anapohutubia, State Of The Nation Address, mara zote huwa anajumuisha na baadhi ya kero/mawazo ya wananchi toka kwenye facebook page yake na kuyarusha pamoja na jina la mchangiaji
 
Mkuu mi naamini hata lile baraza la usalama la taifa kabla halijakutana jtatu, lazima wapewe taarifa ya habari mpya zilizojiri JF

hahahahahahaha.......Mkuu Bitabo .......dahh......hahahahahah....yaani nimecheka sana.........
 
Last edited by a moderator:
Humu ndio utambulisho wa WAZALENDO wa nchi hii japo pia wapo mamluki wa kuchakachua maada hasa zile zinazolenga ukweli wa UOZO ta viongozi.

Welcome SON!

Sio maada bhana, ni mada maada ni kitu chochote chenye uzito na kinachochukua nafasi (Physics)
 
  1. Jf imekuwa source ya kuaminika
  2. Jf inasomwa sana na wengi
  3. Jf inaelekea kuwa tishio la viongozi wahuni wahuni
 
Jamii forum inawaumiza vichwa sana hata mama Lwakatale alilia na jamii ....Hii inaonesha mawazo na michango ya Great thinker inawasumbua.
 
Back
Top Bottom