Mkuu,
Si kama inahusiana na Wenje, bali Wenje alisoma maoni ya Waingereza dhidi ya Rais wetu; lakini kauli ya Membe kama ya Radhia Sweety, hawajaangalia SOURCE LINK na kufikiria.
Membe kakiri kuwa Guardian walifanya coverage ya JK vema akiwa Davos, jambo jema! Lakini kusema uki-google habari yenyewe unaishia JamiiForums ni kutoelewa search engines zinafanyaje kazi.
Maoni hayo yapo tovuti ya Guardian mpaka dakika hii na unaweza kuyaona kwenye link hii: Davos 2012: Day two, as it happened | Business | guardian.co.uk
Nilichokipenda ni kuwa membe naye ana browse Jf. Nadhani hata brazake anabrowse pia
ZITO ameendelea kuthibitisha asivyojua vitu. Spika amepiga swali lake chini. Ni aibu kwa mmbunge kama Zito kutokuelewa kuwa wanachopitisha hapo bungeni ni makisio na sio kitu halali. Ni aibu kumuomba Waziri wa fedha ajikomit kuwa atawapa wizara ya mambo ya nje fedha yote waliomba. Kama mtu aliyemo ndani ya mjengo anakuwa na uelewa wa aina hii mlala hoi wa Mwanarumango atasema nini?