Ni kweli tunahitaji umoja wa pinzani bungeni lakini sio kama Mrema ambaye msimamo wake uko wazi.
Baada ya chadema, kutangaza kiongozi wao wa kambi ya upinzani bungeni, vyama vingine vinne vimeamua kuungana na kuwa na kiongozi wao huko bungeni vyama hivyo ni TLP, CUF , UDP NA NCCR MAGEUZI
source TBC1( MUKTASARI WA HABARI)
WADAU, Tuwache UNAFIKI:Oya wewe mkenya nini maana watanzania si unawajua ni mabingwa wa kusahau????????????? nakushangaa unalikumbuka hili nadhani ngoja waachiwe huo uwanja waweze kujitutumua vizuri........
nakusikitikia sana hapo na kama ndio misimamo yenu katika upinzani ni hiyo basi, siku zote ccm itaitawala nchi hii:smile-big: fungua macho, piga hesabu, utapata jawabu. Wawindaji huwa hawawindi wasivyoweza kuvila @Obhelihao cuf wengi ni wawakirishi wa misikiti bungeni harafu ni lazima tufike mahali tutambue kuwa wameuza utu na upizani wao kwa shekeli na uroho wa madaraka tu, wengi tumeshuhudia hawa watu wakifanya vikao vyao vya cri na
ccm ikiwa chini mwenyekiti maamuma wa uongozi dunia kikwete ili kuisimilisha nchi kwa manufaa ya cuf na nafsi zao
HUO NDIO UBINAFSI WA CHADEMA!!:smile-big: wamesahau kuwa CUF, TLP na NCCR bila kuwaunga mkono katika mambo mengi hawana mwendo!:smile-big:nashukuru mkuu umeiona point, chadema wanajiona vichwa juu kwa wabunge 45 tu wakati cuf in 34. bunge lililopita chadema walikuwa na 11 na walipewa nafasi ya naibu kiongozi wa pinzani leo cuf in 34 hakupewa hata nafasi ya naibu, eti wamekapa ka-zito, sijui wanakaogopa katavuruga chama? kusema kweli kama chama kinaweza kuvurugwa na kavulana kama zito, basi hakuna chama hapo na nashukuru Mungu hakikushinda uchaguzi. hata kama kura zilichakachuliwa, zitabarikiwa na Mungu, hikichama walahi kingeichakachua nchi nzima kwa ubinafsi. kueni kwanza (watoto wote mnaoishabikia chadema) mtayaona!
WADAU, Tuwache UNAFIKI:
IWE ITAKAVYOKUWA, CUF INAIHITAJI CHADEMA NA CHADEMA INAIHITAJI CUF na wale wanzao.
Wana JF nimepata habari kuwa CUF imesema haitashirikiana na CHADEMA kuunda serikali ya upinzni ramsi bungeni. Na wanasema wao watashirikiana na vyama vya NCCR Mageuzi na TLP kuunda kambi yao ya upinzani bungeni.
Source: Mlimani TV leo saa 1:30
Hiki nacho ni kituko gani wajamaa!!!! Huu ni wivu ama ni nini? Mimi nafikiri adui wa rafiki yako ni adui yako. Sasa bunge hili linaonekana kuwa kituko, kambi tatu zinazopingana?
Haya wana JF mnasemaje?
CUF wao si Zanzibar tu ndio wana wabunge wengi, mstakabali wa mapambano haya hautegemei kushirikiana na CCM makafiri.