de'levis
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,222
- 1,567
Hapa hakuna lolote hapa! kuna kila dalili kuwa hili ni changa la macho tu!
mkuu wahi kitimoto cha watoto....waache senior citizen wafanye mambo!!! wengine sijui tuko kundi gan lol!!!
Hapa hakuna lolote hapa! kuna kila dalili kuwa hili ni changa la macho tu!
Huyu msoma taarifa anavozungukazunguka hivi anaanda maandalizi ya kumsafisha Jairo
mkuu wahi kitimoto cha watoto....waache senior citizen wafanye mambo!!! wengine sijui tuko kundi gan lol!!!
...ukiona manyoya?
Tayari jairo kisha nasa, mkaguzi mkuu wa serikali kisha kataa kuwa huo si utaratibu na makatibu wakuu waliohojiwa na wamekana kuwa huo sio utaratibu. utoh amedai kuwa ataanzisha utaratibu wa kukagua hiyo kitu ya jairo