Angalia hapo alipoweka mkono wa kulia,kaegesha mkono kwenye meza akisikia wenzake wanapiga makofi na yeye anaunganisha
Angalia hapo alipoweka mkono wa kulia,kaegesha mkono kwenye meza akisikia wenzake wanapiga makofi na yeye anaunganisha
.Angalia hapo alipoweka mkono wa kulia,kaegesha mkono kwenye meza akisikia wenzake wanapiga makofi na yeye anaunganisha
Tupo mkuu, ila tunafahamu kwamba mbunge hapo anaota urais wa 2015, hivyo anasinzia kwa manufaa ya taifa.Wanaurambo mashariki mpo????Mnawakilishwa hapo!
Angalia hapo alipoweka mkono wa kulia,kaegesha mkono kwenye meza akisikia wenzake wanapiga makofi na yeye anaunganisha
ila wabunge wetu wanakaa kwa starehe ukiangalia mabunge mengine, wanakaa kwa shida nafasi ndogo, bunge la Kenya lenyewe dogo wanabanana ila sisi tumevunja rekodi.