only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
shetani alikuwa akigawa ukilaza kidogo kidogo killa kwa mwanadamu ILA ALIPOFIKA KWA LUSINDE kapu likamponyoka ukilaza wooooote uliobaki ukamwingia LUSINDE.
LUSINDE ni kilaza sjawai asiyeelezeka
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!! Hii kali mkuu..lol!! mbavu zimevunjika wangu.