anasema mtu akitumikia mabwana wa2 atapasuka msamba,sasa mwigulu kasema nini?
anasema mtu akitumikia mabwana wa2 atapasuka msamba,
kiukweli magamba hoi
sitaki niyashuhudie sababu ntanvunja tv bure natamani watoke sasa!kuwa sehemu ya kushuhudia MAGAMBA YANAVYOTEKETEA
Hapa unamaanisha nini?NENDA ZK HK !i
umenikumbusha matokeo ya mwaka jana alimhonga mgombea wa cdm akamwachia ulaji, hata dr. Slaa alivyoenda bunda kwenye mkutano wa hadhara baada ya uchaguzi watu wa bunda walimtaka ashuke jukwaani. Sasa sijui wasira anaweza kuongea nini wakati ameingia bungeni kwa kuhonga.wassira is a convicted criminal before the court of law. Alipatikana na hatia ya kutoa rushwa kwenye uchaguzi bunda (refer kesi ya warioba na wassira). Wassira lazima atetee katiba mbovu, kwani katiba nzuri asingeruhusiwa tena kugombea nafasi yoyote ya uongozi achilia mbali kuzawadia uwaziri.ndiyo maana anajaribu kupotosha bunge eti cdm waliahidi katiba ndani ya siku 100. Huu ni uongo wa mchana kweupe cdm waliahidi kuanzisha mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100. Kama makinda atacha huu ungo wa dhahiri uingie kwenye hansard za bunge, basi hili litakuwa bunge la banana republic
Hapo ndio wanaujadili muswada wenyewe. Tundu Lissu ndio muswada wenyewe huo. CCM oyeeeeeee!!!! Wananchi ziiiiiiiiiiiiiii