Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Mi pia sipo karibu na luninga!nakutegemea wewe umwage newz
Walio karbu na tv watatujuza mana leo najua kutawaka moto.
Mi pia sipo karibu na luninga!nakutegemea wewe umwage newz
Ushabiki kwa nani! Mtu akikosa cha kujitetea!Jaji Werema na Waziri Wasira, wamelishambulia Jukwaa la Katiba na wale wote waliotoa maoni hasi kuhusu kusomwa kwa mara ya pili kwa muswada wakiwataja kwa majina akiwemo Deus Kibamba, Prof. Issa Shivji, Prof. Josephat Kanywanyi na wengine wote wanaopinga muswada huo usiwasilishwe wakiwemo Chama cha Wabasheria Tanzania, TLS, wametajwa kuwa sio wakweli bali wanapinga kwa ushabiki tuu.
Wao wana uwezo gani wa kuweza kuyakubali mengine eti ndiyo yanayofaa na maoni mengine wameyaacha eti wameona hayafai. Wao ni nani Vilaza wakubwa hawa!Kuhusu kushirijisha maoni ya wadau kwenye huu muswada mpya, wamedai kuwa baada ya kusomwa kwa mara ya kwanza, wameyazingatia maoni ya wadau, hata maoni ya wanajukwaa la katiba pia wameyazingatia, ila hawawezi kutajumuisha kila maoni, hivyo wameyachambua na kuyajumuisha yale walioona yanafaa.
Muda umemalizika, kipindi kimekwisha.
Wape la kike!Ngoja niwatafutie tusi
Asubiriwa spika, ila mswaada wa katiba ni mchana.
wadau nijuvyeni, kuteuliwa kuwa mwanasheria mkuu je, maana yake we unajua sheria kuliko watu wote kwenye nchi? haiwezekani ukawa masaburi tu na ukateuliwa kwa kuwa unatumia zaidi hayo masaburi kwenye kutafsiri sheria? wadau nifahamisheni,Jaji Werema na Waziri Wasira, wamelishambulia Jukwaa la Katiba na wale wote waliotoa maoni hasi kuhusu kusomwa kwa mara ya pili kwa muswada wakiwataja kwa majina akiwemo Deus Kibamba, Prof. Issa Shivji, Prof. Josephat Kanywanyi na wengine wote wanaopinga muswada huo usiwasilishwe wakiwemo Chama cha Wabasheria Tanzania, TLS, wametajwa kuwa sio wakweli bali wanapinga kwa ushabiki tuu.
Hivi kweli Prof. Shivji na Kanywanyi hawajui muswada huu unahusu nini? au Werema na huyo Tayson wameamua kuwaponda hadharani wanataaluma hao?