SOBY
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 1,268
- 457
Wewe ndiyo unaeleta ushabiki. Ungetoa tofauti kati ya meneja wa breweries na DED.Kombo, unajichosha kumjibu huyo jamaa, huwa anaushabiki wa kimagamba.
Hawa watu hawana uhusiano wowote na mambo ya siasa. Msiingize watu wenye vyeo ambavyo ni non-union kwenye mchakato wa katiba ya jamhuri ya muungano. Wewe ndiye unayeleta ushabiki.