GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Duh: Nyambari nyangwine anaibuka na kuwakaripia wanasiasa wote wanokwenda Tarime wakome mchezo huo, sasa hili na mpango wa maendeleo viahusiana nini au ndio dongo kwa Tundu Lissu na Jeshi la wanaukombozi wa CDM.