Bungeni: Membe na kauli ya serikali juu ya ndoa za jinsia moja

mwitaz

JF-Expert Member
Feb 19, 2012
315
93
Katika hali ya vuta ni kuvute kuhusu shinikizo la Mataifa ya ughaibuni hususani Uingereza na Marekani yanayolazimisha nchi za Afrika kuhalalisha ndoa za jinsia moja. Mhe. Khatibu Said Haji (Mb. Konde) aliuliza kuhusu msimamo wa Taifa kuhusu hilo jambo tajwa hapo.

Swali tajwa lilikosa majibu ya papo hapo ikamlazimu Waziri Benard Membe kuandaa majibu ambayo anapaswa kuyajibu Bungeni Leo.

Katika ukurasa wa www.twitter.com/benardmembe BENARD MEMBE ameandika kama ifuatavyo kwa nukuu "Naelekea Bungeni kujibu
swali la Mhe.Khatib Said
Haji(Konde) kuhusu
msimamo wa nchi yetu juu
ya shinikizo kutoka nje la
ndoa za jinsia moja"

Kwa sasa nipo ofisini kikazi; nawaomba wale mnatazamo Bunge mtutupie picha hapa pamoja na updates.

Ahsanteni.
 
nimesikitishwa sana na majibu aliyoyatoa huyu bwana mkubwa alipoulizwa swali leo ktk kipindi cha maswali na majibu.

Swali lilikuwa je endapo itatokea nchi za kibeberu zinasitisha misaada Tanzania kwa kukataa kukupitisha ndoa za jinsia moja Tanzania imejiandaa vipi kukabiliana na changamoto hii !

Alichojibu ni kwamba "sisi kama serikali tutajitahidi kwa kufunga mikanda na kusonga mbele bila kuwategemea wao"

Jamani kumbe uwezo wa kujitegemea tunao ila mnafanya makusudi utegemezi!

Ivi kweli kiongozi kama membe ndio mtu wa kutoa kauli kama hii kweli ! Bila hata kuonyesha jitihada za makusudi zitazotoa Taifa ktk utegemezi !

Mi nadhani ajitathimini na akubali kutopokea ndoto ya kuwania uraisi 2015.
 
Kuna jambo gani la ajabu hapa...shida yako kila asemacho wewe wataka kuunganisha na urais 2015....
 
Kuna jambo gani la ajabu hapa...shida yako kila asemacho wewe wataka kuunganisha na urais 2015....
mkuu VD Utegemezi ni ndoto za umasikini chukua hii !
Kama unafikili hamna tatizo alichoomaanisha ni kwamba Tutaacha utegemezi siku tukishazalilishwa !
Ndio sera za mtarajiwa izo !
 
Serikali ya jamuhuri ya muungano wa tanzania imetoa tamko na msimamo wake rasimi..ambapo kupitia waziri mhe. B.membe.. Alipokuwa akijibu swali la mhe.

Mbunge hatibu said hadji.. Mbungeni.. Kuwa ni nin msimamo wa serikali na ina simama upande upi kuhusu kutambua ndoa za jinsia moja? Na hasa ukizingatia kuwa serikali yetu ni omba omba inakoomba ndiko kwenye usagaji na ushoga kwa sehem kubwa ndiko misaada itokako..

Vip endapo misaada itakuwa na sharit la kukubali ndoa za jinsia moja? Kuhusu ndoa za jinsia moja yaani kati ya jinsia2 za kike kufunga ndoa, au jinsia 2 za kiume kufungishwa ndoa.. Ambapo serikali imegoma kutambua ndoa hizo hasa ukizingatia maadili yetu na tamaduni za kitanzania na kiafrika kwa sehemu kubwa.. Haziruhusu na hazitambui uhalali wa ndoa hizo.. Na ndipo mhe.

Membe akaongeza kukazia kupitia sheria za mwaka 1971, za ndoa zinatambua ndoa za jinsia mbili tofauti .. Yaani kati ya mwanamke na mwanaume kama tufanyavyo! Na akakataa kata kata kusapot ushoga na usagaji.. AMBAPO AKASEMA KUWA WAMEJIPANGA KUJITEGEMEA NA KUSIMAMA THABITI KWA KUJIFUNGA MKANDA KUTOKUPEA MISAADA YENYE SHARITI HILO, NA AKASEMA KUWA HATA WAHISAM WANAJUA KUWA HATUTAK USHOGA NA WANAHESHIMU MAAMUZI YETU, SHERIA ZETU NA TAMADUNI ZETU NA MAADILI...

Binafsi NIKAFURAHI NA KUJIPONGEZA... NA KUWASHANGAA WATANZANIA MASHOGA NA WASAGAJI.. HAPA NCHINI NA KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU AWAALAANI.. MASHOGA NA WASAGAJI.. WAKOME POPOTE WALIPO.. WASHINDWEE... WAACHE.. NA KAMA KUNA MWANA JAAMIIFORUMS.. GREAT THINKER NI SHOGA AU MSAGAJI ALAANIWE NA TAFADHALI AACHE UCHAFU HUO,, EBO..O... ! AU WANA JAMII FORUMS MNASEMAJE?

MASHOGA NA WASAGAJI TUWA FUKUZE HUMU MJENGONI?
 
Na nilipokuwa nikisiliza kituo kimoja cha kiislam cha redio kuna jamaa akapiga simu na kusema kuwa baadhi ya waislam fake, wanawaingilia wake zao kinyume na maumbile kwa kisingizio cha aya fulan isemayo kuwa mwanamke ni shamba la mumewa hivyo ataweza kulilima atakavyo...

Ndipo shehe yule shupavu mujibu swali akagooma kabisa na kutoa onyo na rai kuwa ni MARUFUKU MWANAMME KUMUNGILIA MKEWE KINYUME NA MAUMBILE.. NA WATU WAFANYAPO USHOGA NA USAGAJI MBINGU 7, NA ARIDHI 7, HUTIKISIKA...

AKAPIGA MARUFUKU NDOA ZA JINSIA MOJA NA AKAALAANI VITENDO HIVYO POPOTE VIFANYIKAPO DUNIANI.
 
Mbona wanaolewa tuu watu zenj, TA, Moro, Mwanza, A-town, Bongo. Kwani kwa macheni umaarufu ulikujaje? au hata Br. shigongo na media zake anaweka ktk fron page kila kukicha...hawa Jamaa wajinga.Sijasikia wakishughulikia wanaoandikwa kuwekwa ndani. Dunia ya watu wenye akili wanatushangaa.Legelege serikali
 
Kwa kuangalia wafanyavyo vijana wetu sasa, vijana wa mtandao, sasa imekuwa ni kawaida kabisa kwa vijana kuwaingilia wapenzi wao kinyume na maumbile.Unasikia kabisa taarabu wanaimba na kuhamasisha hayo,,, yaani inakuwa mpaka wasiopenda wanalazimika kujaribu ili wasikimbiwe na wake au waume zao... hatari sana... :thinking:
 
mnawaamini CCM? huwa wakija na makelele ujue wameshauza.soon mwigulu atakuja na kauli kuwa cdm ndio wameingia mkataba.Mara ngapi jk anasema hamaanishi hivyo?hachelewi chomekea kuwa ni sunnah
 
Kamilius Membe alipounguruma kupinga ushoga na Wazungu hawakuwa na nongwa
Kumbe tatizo siyo Ushoga, Tatizo ni haki za binadamu, demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari, na freedom of speech
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom