Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,711
- 2,226
Ni kauli ya mwenyekiti wa bunge kama alivyonukuliwa kwenye link attached!
Eng Stella Manyanya na lawama kwa madaktari kusababisha vifo - YouTube
My take:
Hawa wenyeviti wanapatikanaje?
Ivi hayo maneno yakiwekwa kwa Hansard au ata kwa wale tuliona live si inaonesha ukosefu wa busara na hekima kwa huyu mwenyekiti.
Huwezi mwambia mwanamme mwenzako anawashwa washwa!
Jamani sio kila mtu anaweza kuwa mwenyekiti
Eng Stella Manyanya na lawama kwa madaktari kusababisha vifo - YouTube
My take:
Hawa wenyeviti wanapatikanaje?
Ivi hayo maneno yakiwekwa kwa Hansard au ata kwa wale tuliona live si inaonesha ukosefu wa busara na hekima kwa huyu mwenyekiti.
Huwezi mwambia mwanamme mwenzako anawashwa washwa!
Jamani sio kila mtu anaweza kuwa mwenyekiti