Bungeni: Maswali ya 'papo kwa papo' kwa Waziri Mkuu

Maswali kwa waziri mkuu ni usanii mtupu. Mfano W/Mkuu anaulizwa kuhusu mawaziri kuishi hotelini, naye anamuuliza mbunge ni mawaziri gani, anapoambiwa ni nahodha, anajibu sawa nimesikia. Hapa tulitegemea W/Mkuu alijue hili kama kweli serikali yake ina nia ya kupunguza gharama, maana hili la nahodha limeandikwa hata na vyombo vya habari.
Pia, spika amepotezea(kwa kisingizio cha kesi zipo mahakamani) maswali kuhusu mauaji yanayofanywa na polisi-maana si Nyamongo au Tarime peke yake, mauaji yamefanyika sehemu nyingi tu kama Mbarali ambako kesi haipo mahakamani. Spika amekosa umakini ktk hili

Umeonaeee! Hawa jamaa ni kuwawekea sumu wafe tu, maana kwa kura hatuwawezi, ni wezi; kwa vittta ndo murrrah, watapita tu; kwa usanii ndo usiseme-watatunanii tu-so conclusionyao ni sumu ya paka tu hawa!
 
Mh. Lukuvi: anasema wabunge Lisu na mwenzie wapo nje kwa dhamana na kesi na kuwa maswali waliyooluliza na specific kuhusiana na mgodi wa nyamongo na siyo mauaji na ksesi ya poliisi na fasihi C inatoa mwanya kwa mbunge kuuhoji endapo spika atapotoshwa kwa tafsiri katika fasihi A

kwa hiyo natoa rai suala hilo liachiwe mahakama kuendelea na taratibu zake

Utaratibu tena
 
Spikam kaingilia kati anasema MH. MATIKO NA LISSU wapo kwa hiyo tutumie kifungu cha 64 kuichia mahakama jukumu hilo

sendeka: Muongozo
 
Pinda ameonesha kwamba hafai kuwa hata mkt wa kijiji na mi naona kuendelea kumuuliza pinda maswali yanayojibiwa na MAKINDA ni kupoteza mda mi naomba kipindi cha maswli ya pinda kifutwe mpaka hapo tutakapo pata mtu mwenye uwezo wa kujibu maswali kama waziri mkuu. Ninaumia sana hasa ninapomuona pinda na makinda wanachezea maisha ya wtz kwa kutoa majibu ya kitoto kwenye mambo makubwa.
Umeongea vema sana, so far Rekebisha hapo kwenye red tu mkuu
 
jamani sote tunajua umaskini wa nchi yetu kuwa ni wakupindukia,hizi posho hazina tija zaidi ya kuendelea kuifanya nchi maskini,tizama semina elekezi zilizofanyika mfano ngurdoto na Dodoma ambapo najua wazi walilipana posho za kutosha tu zimeleta mchano gani wa manufaa kwa mwananchi?wanaong`ang`ania posho ni wale wabunge ambao nia yao kwenda bungeni haikuwa kuwawakilisha wananchi bali maslahi yao binafsi.
 
Kanuni ya 5 Fasili ya kwanza: Muongozo wa uendeshaji wa shughuli za Bunge. kama mbunge hataridhika na maamuzi ya spika anaweza kuleta malalamiko yake kwa njia ya maandishi

'' nalisema hili bila kuingilia hoja ya Tundu LISU'' ila itatusaidia kuondosha malumbano yasiyokuwa ya lazima

SPIKA: Nawapongeza jana mmefanya vizuri na kuanzia sasa huu uwe utaratibu kama hamkuridhika kwa kutumia kanuni ya 5 kanuni ndogo ya Nnne

Mh. Mdee Taarifa Mwenyekiti

Spika: Sihitaji sasa Taarifa naendelea na shughuli nyingine


Mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh

AM OUT
 
HOJA BINAFSI YA MNYIKA

Anasimama Mnyika na kushukuru hata hajamaliza

Mwenyekiti anamtuliza sijakupa nafasi Mbunge kaa kwanza sijajiridhisha, anapita kama document hivi na anaibuka

....Kupitia kanuni ya 55, peleka Hoja yako kwa katibu kwa maandishi akiijiridhisha itafanyiwa kazi

anavutana kidogo na Simbachawene...
Mnyika anamueleza kifungu cha nne cha kanuni ya 55 kinaelekeza baadhi ya Hoja kupokewa bila taarifa ya maandishi kwa katibu


Simbachawene: nimepewa mamlaka ya Kiti kufanya maamuzi ambayo nitajiridhisha na kiti kimekosea fuata utaratibu...walah ni full mapanga

HOJA YA Mnyika pia imepotezewa

OUT NOW
 
Ukiangalia mjadala ulivyo ni kuwa maswali ya upinzani yanapuuzwa na kukataliwa wakati ndio yenye mafaa kwa watz!!
 
Mbali ya kusoma na kuandika kuwa sifa kuu ya mtu kuweza kuwa mbunge, napendekeza ubaunsa pia iwe sifa muhimu kuingia mjengoni kwa sasa-huu ni up...z.. unaofanywa na huyu ma-young shoot.
icon8.png
icon8.png
icon8.png
icon8.png
icon8.png
icon8.png
icon8.png
icon8.png
icon8.png
icon8.png
icon8.png


 
Asante sana Ghost Ryder kutujuza. Mimi nimechoka kabisa na huyu mama. Natamani kumwombea a**. Nisamehewe bure. Ni hasira tu.
 
Nyamabafuuu kabisa mi hawa wa magamba wananiudhiiiiiiiiiiiiiii!!!mpiga kura gani anaenda kuomba fedha bungeni au ni usanii tu??sasa nasema hiviiiiiiii posho nooo na ole wao waseme yeeessss!!!kudadaddeki zaooo!!!!!

Huyu Waziri Mkuu ni Makato kabisa! Kama wanakuja kuwakamata Omba Omba huku mitaani na kuwarudisha makwao, leo hii inaingia akilini kweli Omba omba anaenda kufanyia shughuli za kuombaomba Bungeni halafu Waziri Mkuu anamtambua "kisheria"!

Au Wabunge wote wanatokea hapo Dodoma na hao wanaoenda kuomba omba hapo ndio kwao!
 
Olesendeka katumia busara ambayo ilibidi itumiwe na spika,kumjibu tundu lissu,Lukuvi naye anakulupuka tu mala mimi sio mwana sheria,tundu lissu ndio mwana sheria,yaani anaongoea pumba.Namshukuru sana Olesendeka kwa kutumia busara na kumwacha tundu lissu akifurahia na kupiga makofi kwa nguvu zake zote.
 
Sina kifungun hapa nasubiri ufafanuzi wa Spika, ila suala likiwa katika mhimili mmoja wa Dola na hasa Mahakama haliruhusiwi kujadiliwa na mhimili mwingine
Walipo lizungumzia swala la mauji ya arusha hicho kifungu hakikuwepo au walikuwa hawakijui au mambo yamekuwa magumu hasa baada ya kugundua wanachemka waache unafiki....
 
Big up Gost Ryder kwa kutujuza,

hili bunge liko kisanii zaidi, huyu Makinda anapach kila kitu, yaani ye ni kutetea maovu tu... mara 100 SITA..! we will miss him..

kuna mdau mwanzo alisema leo itakuwa "funika kombe mwanaharam apite.." ndo tuliyoyaona lol
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom