Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
Ile kampuni ya BAYPORT inayoibia walimu imetinga tena bungeni ni mbunge wa kasulu anauliza wataacha lini kuwaibia walimu? Waziri anadai mwisho wa makato ni 1/3. Bahat mbaya umeme umekatika wenye nao waendelee kutujuza yanayojiri mjengoni.