BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Bunge linaendesha kipindi cha maswali kwa waziri mkuu,ubabe wa spika dhidi ya wabunge wa upinzani umeendelea ni kama vile CCM wamejipanga rasmi kuzuia hoja muhimu za upinzani.
*wakati huo huo TBC nayo kwa maksudi inaonyesha kipindi cha Russia badala ya bunge live ili wananchi waone waziri mkuu akijibu mambo muhimu
*SITTA anamuumbua mbunge mwenye boti aeleze ukweli nae anakiri.(personal interest)
*JE TUTAFIKA??
Mkuu, hebu tuhabarishe kinachoendelea maana TV ya Taifa ndio hivyo tena, imechakachuliwa leo hakuna Live.