Bungeni Live: Marekebisho ya Katiba: Malumbano Yamemalizika!

simply

muswada wa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba umepita

Anyway, it was a very spirited and strategic move by the opposition camp to turn that law around to a state where it can at least give rise to meaningful political discourse by all sections of the society.... i would say this is a really encouraging trend-setter
 
Hadidu za rejea ya tume zitatokana na chombo gani?????????????????????

Final Update.
Muswada umepita!.
Kesho muswada huo unaletwa rasmi DSM na kulazwa ofisi ya bunge DSM. Jumatatu asubuhi, Katibu wa Bunge, Dr. Thomas Kashilila atabisha hodi Ikulu, na kuukabidhi rasmi.
JK atausani fasta fasta hata Jumatatu hiyo hiyo ili tangu J.4 uwe sheria.
Barua za mialiko kwa wadau kupendekeza majina ya wajumbe zitatolewa.
JK atateua wajumbe 14 kutoka bara na 14 kutoka Zanzibar pia atamteau M/Kiti na Katibu, jumla watakuwa 32.
Wataapishwa Ikulu.
Tarehe 01/03/2012 Tume ya Kukusanya Maoni Itaanza Kazi!.

Asanteni na Kwaherini.

Pasco.
 
Bado sijakuelewa! Mkuu Pasco wala si kawaida yako kujikanyaga kanyaga katika maelezo yako leo kuna nini hapo newsroom?

Au ni hawa vijana wako akina Meena ndio wanakupotezeshea frequencies huko bungeni?
Mkuu Uwezo Tunao, Pasco ni mwandishi wa kujitolea tuu wa jf, hajaajiriwa popote, hafanyi kazi kwenye newsroom yoyote, wala hayoko chini ya yoyote na sio mwanachama wa chama chochote, ndio maana utamuona kwenye mazuri ya serikali, upinzani au lolote, atasifu, na kwenye uborongaji nitabonda, haijalisi ni JK na serikali yake, au ni CCM, Chadema au chama chochote, na hata JF pia huwa naisifu ikifanya vema, na pia nyundo naibonda ikichemsha. Absolute fereedom of speech ndio his way huku akisimama kwenye "nothing but the truth" with objectivity na impartiality!. My newroom is my PC!.

Thanks!

Pasco.
 
`wanabodi,

ule mjadala wa jana kuhusu marekebisho ya sheria ya marekebisho ya katiba, yale malumbano ya jana kuhusu matumizi ya ma dc au ma ded umemalizika rasmi!.

Makubaliano hayo yamewakubali wote wawepo, ma ded na ma dc wawepo, ila tume imepewa mandate ya kuwatumia yoyote kati ya hao pale itakapoona inafaa!.

Kuliibuka tena malumbano ambapo lissu aliibua tifu upya, ag, akamkomalia kuwa mbona jana alikubali, mwisho kub, mhe. Freeman mbowe alikubali kufunika kombe mwanaharamu apite kwa kukubali yaishe. Muswada ukapita!.

my take!.
Muswada umepita!.
Kesho muswada huo unaletwa rasmi dsm na kulazwa ofisi ya bunge dsm. Jumatatu asubuhi, katibu wa bunge, dr. Thomas kashilila atabisha hodi ikulu, na kuukabidhi rasmi.
Jk atausani fasta fasta hata jumatatu hiyo hiyo ili tangu j.4 uwe sheria.
Barua za mialiko kwa wadau kupendekeza majina ya wajumbe zitatolewa.
jk atateua wajumbe 14 kutoka bara na 14 kutoka zanzibar pia atamteau m/kiti na katibu, jumla watakuwa 32.
Wataapishwa ikulu.
Tarehe 01/03/2012 tume ya kukusanya maoni itaanza kazi!.

Asanteni

pasco.

hapo pekundu ndio mimi huwa sielewi
 
Mkuu Uwezo Tunao, Pasco ni mwandishi wa kujitolea tuu wa jf, hajaajiriwa popote, hafanyi kazi kwenye newsroom yoyote, wala hayoko chini ya yoyote na sio mwanachama wa chama chochote, ndio maana utamuona kwenye mazuri ya serikali, upinzani au lolote, atasifu, na kwenye uborongaji nitabonda, haijalisi ni JK na serikali yake, au ni CCM, Chadema au chama chochote, na hata JF pia huwa naisifu ikifanya vema, na pia nyundo naibonda ikichemsha. Absolute fereedom of speech ndio his way huku akisimama kwenye "nothing but the truth" with objectivity na impartiality!. My newroom is my PC!.

Thanks!

Pasco.
But when it comes to defending EL, every word mentioned up there turns inside out... huh!
 
mkuu uwezo tunao, pasco ni mwandishi wa kujitolea tuu wa jf, hajaajiriwa popote, hafanyi kazi kwenye newsroom yoyote, wala hayoko chini ya yoyote na sio mwanachama wa chama chochote, ndio maana utamuona kwenye mazuri ya serikali, upinzani au lolote, atasifu, na kwenye uborongaji nitabonda, haijalisi ni jk na serikali yake, au ni ccm, chadema au chama chochote, na hata jf pia huwa naisifu ikifanya vema, na pia nyundo naibonda ikichemsha. Absolute fereedom of speech ndio his way huku akisimama kwenye "nothing but the truth" with objectivity na impartiality!. My newroom is my pc!.

Thanks!

Pasco.

Aisee hongera kwa kuwa mkweli.........jinsi ulivyokuwa unamsifia femme fatale Blandina sijapata kuona........leo hii ni harusi ya tajiri na chura!!!!!!
 
Hadi hapo kula tano basi mkuu. Lakini vipi HADIDU ZA REJEA?

Mkuu Uwezo Tunao, Pasco ni mwandishi wa kujitolea tuu wa jf, hajaajiriwa popote, hafanyi kazi kwenye newsroom yoyote, wala hayoko chini ya yoyote na sio mwanachama wa chama chochote, ndio maana utamuona kwenye mazuri ya serikali, upinzani au lolote, atasifu, na kwenye uborongaji nitabonda, haijalisi ni JK na serikali yake, au ni CCM, Chadema au chama chochote, na hata JF pia huwa naisifu ikifanya vema, na pia nyundo naibonda ikichemsha. Absolute fereedom of speech ndio his way huku akisimama kwenye "nothing but the truth" with objectivity na impartiality!. My newroom is my PC!.

Thanks!

Pasco.
 
But when it comes to defending EL, every word mentioned up there turns inside out... huh!
Mkuu PK, utetezi wangu kwa EL ndio ukweli wenyewe!, wengi wanadhani zigo ni lake, no!, zigo kabebeshwa muda muafaka ukifika, atalibwaga hilo zigo na mwenye zigo lake mtajua!.
 
KUB, anawasihi wabunge wa upinzani, tukubali yaishe, twendeni tukatengeneze katiba ya nchi, katiba ni muhimu kuliko vyama vyetu!

Anashangiliwa na bunge zima!.

kwa nini mara zote upinzani ndio wanalazimishwa kukubali yaishe huu ni uonevu kama kukubali ni raha kwa nini wao nao wasie wanakubali yaishe yani upinzani ndio wapoteze wao washinde this is not right uonevu mtupu.
 
Mkuu PK, utetezi wangu kwa EL ndio ukweli wenyewe!, wengi wanadhani zigo ni lake, no!, zigo kabebeshwa muda muafaka ukifika, atalibwaga hilo zigo na mwenye zigo lake mtajua!.
Kama unaujua ukweli kwanini usiuseme?...are you party to the crime?
Kumtetea mtu bila kuverify innocence yake ni kazi bure...
 
Huyu Mheshimiwa Mbunge wa TBC alichangia vizuri sana 23102_569809957_6191_n.jpg
 
Hii naona imeshakuwa kuna Tatizo!! Haiwezi kuingia akilini Katika Wajumbe kuwe na Un equal Ratio!! Watu Laki Tisa Zanzibar, Na watu Milioni 41 Bara Halafu uwakilishi uwe kwenye ratio sawa!! Jamani? I smell something Fish!!
 
kwa nini mara zote upinzani ndio wanalazimishwa kukubali yaishe huu ni uonevu kama kukubali ni raha kwa nini wao nao wasie wanakubali yaishe yani upinzani ndio wapoteze wao washinde this is not right uonevu mtupu.

Hivi mtu ukionea inakubidi ufanye nini kama kulalamika haisaidii?
 
Hii naona imeshakuwa kuna Tatizo!! Haiwezi kuingia akilini Katika Wajumbe kuwe na Un equal Ratio!! Watu Laki Tisa Zanzibar, Na watu Milioni 41 Bara Halafu uwakilishi uwe kwenye ratio sawa!! Jamani? I smell something Fish!!
Mkwe21, kama ulifikiri Zanzibar ni mkoa au wilaya, you are wrong!. Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa, equal status regarless of size and population. Kama ni ndoa, ni ndoa ya kiserekali ambao wana ndoa wote wanahaki sawa, japo mmoja kaoa na kulipia mahari, huku mwingine ni kula kulala, ndoa ikivunjika mnagawa mali sawa!. Ingekuwa ni ndoa ya kimila, aliyelipa mahari ndie aliyeoa na ndiye mwenye mali akipata lions share, kwenye muungano we are equal partners, kila kitu cha muungano ni pasu pasu!.
 
Back
Top Bottom