Ile chenji ya Rada ndo ingelipa deni la walimu na si kutudanganya wamepeleka kununulia pembejeo ambazo hazionekani huko vijijini; swala la madaktari haliwezi kutibiwa kwa kwenda mahakamani, yaani kwa wenye akili tushajua mahakama itatoa uamuzi gani. Kamati ya bunge ya afya ilishauri swala hili latatuliwe but serikali inatumia ubabe kitu ambacho kitaigarimu. Wakisema cdm wanawazomea nakusema ni siasa;
1.Hao wataalamu wanaocomment ubovu wa bajeti hii nao ni siasa?
2. Hivi kupigania fedha za maendeleo ziongezwe hiyo nayo ni siasa? sasa tuone nini kitatokea.
Nasema kauli ya NCHEMBA kama haitafutwa na kuomba radhi aliowatuhumu itawatokea puani! Huwezi kukata tawi la mti ulilolikalia then utegemee utapona!
1.Hao wataalamu wanaocomment ubovu wa bajeti hii nao ni siasa?
2. Hivi kupigania fedha za maendeleo ziongezwe hiyo nayo ni siasa? sasa tuone nini kitatokea.
Nasema kauli ya NCHEMBA kama haitafutwa na kuomba radhi aliowatuhumu itawatokea puani! Huwezi kukata tawi la mti ulilolikalia then utegemee utapona!