Arusha Mambo
Senior Member
- Jan 27, 2011
- 174
- 150
Adai wakigoma hawana dhamira ya kweli ya kuwatumikia watanzania
Pinda anasema wanaenda mahakamani
Katika Maswali ya Papo kwa papo kwa Waziri Mkuu Dogo janja amemuuliza Pinda kuwa katika Mazishi ya Mhe.Summari Pinda kama mwakilishi wa serikali alitoa ahadi kwa wananchi wa arumeru mashariki kuwa serikali watatekeleza ahadi zote ambazo waliahidi.Sasa kwavile Jimbo limeshapata Mbunge Je Serikali Iko tayari kutekeleza ahadi zote walizoahidi au ilikuwa ahadi za kisiasa?Jibu toka kwa Pinda Serikali watatekeleza ahadi ambazo zipo kwenye ilani ya CCM.
Wanabodi hili limekaaje?
Katika Maswali ya Papo kwa papo kwa Waziri Mkuu Dogo janja amemuuliza Pinda kuwa katika Mazishi ya Mhe.Summari Pinda kama mwakilishi wa serikali alitoa ahadi kwa wananchi wa arumeru mashariki kuwa serikali watatekeleza ahadi zote ambazo waliahidi.Sasa kwavile Jimbo limeshapata Mbunge Je Serikali Iko tayari kutekeleza ahadi zote walizoahidi au ilikuwa ahadi za kisiasa?Jibu toka kwa Pinda Serikali watatekeleza ahadi ambazo zipo kwenye ilani ya CCM.
Wanabodi hili limekaaje?
hilo swali la msingi.mbowe amemuuliza suala la mgomo wa madaktari na waalimu unaweweza kuanza wakati wowote anataka kujua jinsi serikali ilivyojipanga kukabiliana na hali hiyo.
Waziri mkuu Mh. Pinda leo bungeni wakati akijibu swali la Mh. Nasari amesema haina haja kwa vijana kusema kwa kutumia nguvu mpaka kutikisika. Amesema kuongea hivyo si muhimu bali ni kujikita kwenye hoja. Kwamba kuongea mpaka povu linamtoka mtu hayo si mambo katika nchi yetu. Wadau mnasemaje?