Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,845
- 5,064
wabunge wote leo nimewadharau sana kutajana majina tu mnashangilia na kugonga meza ilihali sisi wasikilizaji tunahasira kali naanza kuamini ile kauli ya kijana anaenza kubalehe kuwa wabunge wote ni wazembe kipi hasa kinawafurahisha
taratibu utaelewa...