Bungeni leo: Martha Mlata; Kanumba alitakiwa awe na Bodigadi na hakustaili kuishi Sinza

steve alikuwa maarufu sawa..ila baada ya msiba magamba wakasoma mchezo..mzee sitta alikuja binafsi ila ni opportunist anataka kuskia harufu ya samaki wa kukaanga akiwa pale kwenye mjengo wetu..ghafla ba mwanaasha nae huyo 10m++++..huyo martaaa ni vuvuzela tu...one of my lecturers said and i recall DONt put ur mouth into gear before u engage ur brain
 
Huyu mama ni mpuuzi kabisa £/<@§:~{¤*#`¿ zake. Anaacha kutoa hoja binafsi kuhusu umeme, kupunguza foleni Dar, mfumko wa bei, watoto wanakwenda form 1 hawajui kusoma wala kuandika, wagonjwa 8 kitanda kimoja, air Tanzania, reli ya kati nk. anaongea ujinga huu. Hebu mzomeeni kwanza!!
 
Nilibahatika kusikiliza redio fulani kwenye mahojiano mmiliki wa studio alikuwa anaelezea umaarafu aliokuwa nao Marehemu Kanumba(RIP) lakini alikuwa anaishi maisha ya kawaida sana, alipaswa kuwa mtu maarafu sana na mwenye kuishi maisha ya hali ya juu kama msanii maarafu. JE HAYO YOTE KWANIN HAWAKUWEZA KUYAONA NA KUMPA HIZO HADHI MPAKA KIFO NDIO MTU ANAONAKANA UMAARUFU WAKE NA HADHI YA MAISHA KWANINI HAMKUWEZA KUIBORESHA? binadamu akishapoteza uhai ndo umuhimu wake, michango yake kwenye jamii na taifa kwa ujumla ndo unaonekana. kwanini?
 
Hata Viongozi wetu wanatubagua, Hawataki kuishi pamoja na sisi, wakati ni wao waliosababisha maisha haya tunayoishi watu wa Sinza.
 
ha!ha!ha!aha!si mcheki
mbunge wa ccm bali wanaccm!kwa kauli hiyo hata nafasi ya kukasiika sinaa!
 
Another magamba! Huyu anaumwa, hivi jk na huyo mwingine aliyemtaja hawatakiwi kufika uswahilini? Sielewi anavyosema ni hatari uswahilini kwani hawakupata kura kutoka uswahilini? Au wa uswahilini sio watanzania? Hana tofauti na Lusinde, natamani viti maalum vifutiwe mbali hawa vilaza hawana lolote kuwasaidia watanzania. Hivi hajui kuna walinzi wa rais ambao wanalipwa vizuri au anahitaji atoke mtu ikulu kumwambia hilo.
 
Kwa vyovyote vile huyo atakuwa viti maalum. Alitaka akaishi magogoni?

Hii ndo effect ya emotional thinking!

You r very right!!

Badala ya kufikirishwa na ufahamu timamu ulitulia ...

Fikra zake zinapelekwa kwasi na hisia (Emotions) ...kama mtoto ... This is very LOW!!
 
jamani nafikir bunge ndicho chombo tunachokitegemea kijadili mambo yenye mantiki kwa taifa hili ila kama hata kuwaza tu ni ngumu, basi hakuna haja. hivi naomba niulize huko bungeni hawapewi desa la mambo ya kuongea au hoa za kuchangia?
 
It has been said that Matha Mlata is form two leaver, so relate her ideas and education level.
 
Ndo wabunge tunaowategemea wasome mikataba kwa ufasaha na kuielewa na kuitetea hawa, ptuuuuuu!!!
 
Back
Top Bottom