Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
Bunge linakosa heshima kwa huhifadhi viazi kama hivyo, anasema hivyo kwa vile mazishi ya kanumba yalikuwa makubwa au ameitambua hali hatarishi kwa wasanii tangu zamani, na je wasanii wapewe body guard na nani, hiyo ni personal issue, kila mtu hufanya kwa mahitaji yake mwenyewe