njia moja ili nchi hii irudi kwenye mstari ni kuanza kutumia short cut...
sesilia paleso wale mliokua mnahoji uteuzi wake nadhani sasa mtakua mshapata jibu.
Yeye Mkulo amejibu nini?
Ekelege anakaangwa
MKULU NI MOJA WAPO YA MAGAMBA MAGUMU KABISA...! kama KOBE! KARIBU 2015
wataongea saaana na kutoka mapuvu wakitoka hapo wameshatia posho mfukoni hawakumbuki tena wameongea nini kesho yake na mambo yanaendelea
Ni bunge jingine sio hili linaweza kuwa na meno
Si mnakumbuka ya Jairo mpaka leo kimya kama hakuna lililojadiliwa maana watu waliongea mpaka mapovu yakawatoka midomoni ila leo kimya
kama vile?
Naona kama anataka kumwaga chozi!