Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
[h=6]Mbunge: Mheshimiwa Spika, kabla sijachangia hoja nilikuwa na pendekezo moja tu, mnaonaje mngechagua na Kipaza Sauti Kimoja ili visaidiane na Spika? Maana hizi spika za sasa zimeharibu bunge letu?[/h]Spika: Kaa chini wewe Mwehu nini?
Mbunge: Umeona sasa? Nilijua tu hii spika ina matatizo......
Mbunge: Umeona sasa? Nilijua tu hii spika ina matatizo......