Elections 2010 Bungeni Kumekucha CHADEMA

Sasa cha kushangaza nini wakati mwenyekiti wake wa chama kinachotawala nchi amesemea ugenini kuwa hajui kwanini nchi yake ni maskini?
 
Baada ya Mheshimiwa Tundu Lissu kuwachemsha Wagombea uwakilishi wa SADC kwa maswali ya kitoto na woote kushindwa kutoa majibu,, Kwa mujibu wa Wanajamii wengi wanasema Kama Mmoja anashindwa kujua hata Kirefu cha neno SADC anagombea nini sasa,,,

Mwingine anagombea kitu hajui hata kilianza mwaka gani jamani Hawa wabunge wa CCM vipi? mbona wanahaibika kiumee?
Wanashindwa kusema hata this wanasema zis hahahahahahahahah hapo ndo hoooi

Sasa Mnyika na Lisu walianza juzi na jana, Mbowe na Kabwe wanawavutia kasi wakati Mtoto Mdee akishusha pumzi,, Lussu ambaye iliwahi kusikika Kikwete akisema kwa mdomo wake kuwa "" NI HERI SLAA AWE RAISI KULIKO LISSU KUWA MMBUNGE""
kwa kauli hii inaonesha Hata wanaCCM wanajua jasho lazima litaatoka Safali hii,,

Nakupa sana Big up Li suu,, fanya kazi tulio kutuma kaka

Peeeeeeeooooopleeeee.........................
pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 


Khaaa kuna mmoja wa wagombea upande wa CCM alishindwa ku define what does the word SADC stand for? au The long meaning of SADC hapo juzi mjengoni na watu wakabaki kucheka na bunge likabadilika likawa la Ki English na walio kuwa wanatamba humo ni CHADEMA, CCM walikuwa wao ni kupiga madawati yao humo kwa kufuata mkumbo


Kuna wabunge wengi humo Mjengoni wakipiga madawati wanikumbusha mkwara wa Sokwe pale alindapo himaya yake. Atapiga miguu na mikono juu ya matawi na kulia kwa sana huku akitetema kwa hasira.
hiii
 
Mkumbusheni Bwana Lisu kwamba Singida wanataka maendeleo. Kwenda kujitafutia cheap popularity TBC1 Kwa kuuliza "gotcha questions" sio ishu wala nini.

Ushauri wa bure.

Ushauri wako hata ungekua ni wakulipia bado ni wa hovyo. Baki nao
 
Najua lissu ni muongeaji mzuri sana na ndio maana wanamfananisha na wabunge 10 wa ccm*( sijui kwa vigezo gana) lakini ninacho kiona mimi ni mchuano kati ya lissu vs makinda, na tulishuhudia siku ile jinsi makinda alivyo mnyamazisha lissu kwa majibu ya short and clear, pale mgombea wa chadema alipo bebeshwa swali na injinia manyanya lilomzidi uwezo la kutomtambua rais
mi nadhani lissu aache papara atakutana na mengi sana mbeleni, asome kwanza mazingira

Yapi tena hayo. Mtu kesha shikwa kawekwa ndani na Adadi pamoja na Manumba wakashindwa wakamwachia. Alimkaripia bila woga Manumba kwa kutaka kuwatisha Chadema. Suala ni kwamba hujui kuwa kuna watu ambao hawaogopi hao ambao nyie wengine hupend kuramna miguu yako. Kama unajua mapambano kwa wengine hayakuanza leo na mbinu za mapambano ya kisiasa na haki za binadamu hamzijui na hivyo ukiona mbinu kama hizi zinafanywa nchini unashituka kwani mumezoea kuamini kuwa viongozi ni kama wazazi kumbe ni watumishi na wanawajibika kwa wananchi. Nasema hivi katika nchi ya demokrasia kiongozi kama hajui kuwa ataambiwa kuwa yu uchi basi huyo ni bora aachie ngazi haraka kwani hivyo ndivyo ambavyo watafanyiwa bila kurudi nyuma. Mapambano yameanza na sasa yatapamba moto.
 
Members kwa kuongezea ni Tanzania, Botswana, DRC, Lesotho, Angola Madagascar,Malawi Mouritius,Moza mbique, Namibia,Seycheles, South Africa, Swazland, Zambia na Zimbabwe,, it is almost 15 countries in the SADC, jamani hawa Wabunge walisma Shule Gani?

Kwasababu Hizi za Tanzania lazima uzisome hizi Organisations,, kwenye Civics
 
has 15 member states, one of whose membership is currently suspended:
  • 22px-Flag_of_Angola.svg.png
    Angola
  • 22px-Flag_of_Botswana.svg.png
    Botswana
  • 22px-Flag_of_the_Democratic_Republic_of_the_Congo.svg.png
    Democratic Republic of the Congo – since 8 September 1997
  • 22px-Flag_of_Lesotho.svg.png
    Lesotho
  • 22px-Flag_of_Malawi.svg.png
    Malawi
  • 22px-Flag_of_Mauritius.svg.png
    Mauritius – since 28 August 1995
  • 22px-Flag_of_Mozambique.svg.png
    Mozambique
  • 22px-Flag_of_Namibia.svg.png
    Namibia – since 31 March 1990 (since independence)
  • 22px-Flag_of_Swaziland.svg.png
    Swaziland
  • 22px-Flag_of_Tanzania.svg.png
    Tanzania
  • 22px-Flag_of_Zambia.svg.png
    Zambia
  • 22px-Flag_of_Zimbabwe.svg.png
    Zimbabwe
  • 22px-Flag_of_South_Africa.svg.png
    South Africa – since 30 August 1994
  • 22px-Flag_of_the_Seychelles.svg.png
    Seychelles – also previously been a member of SADC from 8 September 1997 until 1 July 2004 then joined again in 2008.
na Madagaska ni mpya ya sasasasa
 
Sasa hivi kuwafundisha CCM jinsi ya kutafuta Haki kwa kuwaelimisha watu wa Mataifa mbalimbali kwamba Tanzania hakuna Amani ya kisiasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom