Elections 2010 Bungeni Kumekucha CHADEMA

Namkubali Tundu Lisu, ni moja kati ya watu wenye data na wenye kujua nini wanatakiwa kufanya katika wakati fulani. I once said, our country has many smart people who can lead this country and bring the changes we want. But the CCM system is very discouraging to these smart people.

Viva TL.
 
>> kwa staili hii ya wabunge wa ccm kushabikia na kupiga makofi kwa kila hoja ya kijinga nakuambia kuna siku atakuja mzungu na wakati atapopewa nafasi na spika kuwasalimia....anaweza mfano kusema ....all tanzanian members of parliament especially ccm a fulish !......si ajabu utaona wanapiga makofi kwa furaha sana

hahahahahaha thats Strange,, CCM mosquitomosquitomosquito hahahahahaha namaanisha Mbumbumbu
 
Mhe. Tundu mimi namkubali kama mtu mahiri katika kujenga na kuelezea hoja. Watu wa Singida wamefanyia Taifa kitu cha maana sana kwa kumpa ushindi huyu mhe. Atakuwa chachu ya mijadala mizito bungeni. Uzoefu wake kwenye harakati za mazingira na sheria ni silaha nzuri sana. CHADEMA watumie vizuri huyu mhe ili kujenga chama haswa kwenye zile sehemu zenye migogoro na makampuni ya madini.
 
Baada ya Mheshimiwa Tundu Lissu kuwachemsha Wagombea uwakilishi wa SADC kwa maswali ya kitoto na woote kushindwa kutoa majibu,, Kwa mujibu wa Wanajamii wengi wanasema Kama Mmoja anashindwa kujua hata Kirefu cha neno SADC anagombea nini sasa,,,

Mwingine anagombea kitu hajui hata kilianza mwaka gani jamani Hawa wabunge wa CCM vipi? mbona wanahaibika kiumee?
Wanashindwa kusema hata this wanasema zis hahahahahahahahah hapo ndo hoooi

Sasa Mnyika na Lisu walianza juzi na jana, Mbowe na Kabwe wanawavutia kasi wakati Mtoto Mdee akishusha pumzi,, Lussu ambaye iliwahi kusikika Kikwete akisema kwa mdomo wake kuwa "" NI HERI SLAA AWE RAISI KULIKO LISSU KUWA MMBUNGE""
kwa kauli hii inaonesha Hata wanaCCM wanajua jasho lazima litaatoka Safali hii,,

Nakupa sana Big up Li suu,, fanya kazi tulio kutuma kaka

Peeeeeeeooooopleeeee.........................



Waoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Lissu! Na bado tutegemee vioja zaidi.
 
>> kwa staili hii ya wabunge wa ccm kushabikia na kupiga makofi kwa kila hoja ya kijinga nakuambia kuna siku atakuja mzungu na wakati atapopewa nafasi na spika kuwasalimia....anaweza mfano kusema ....all tanzanian members of parliament especially ccm a fulish !......si ajabu utaona wanapiga makofi kwa furaha sana

Huyu mzungu atakuwa ametokea Russia au Ulaya iliyokuwa ya Mashariki kwani Kiingereza chake naye ni kibovu. 'fulish' ndio nini?
 
Mkumbusheni Bwana Lisu kwamba Singida wanataka maendeleo. Kwenda kujitafutia cheap popularity TBC1 Kwa kuuliza "gotcha questions" sio ishu wala nini.

Ushauri wa bure.
 
Ifolako, kwani akijua sana kuhusu sadc ni lazima agombee? Yeye na wabunge wote wanawajibika kuhakikisha kuwa huko kwenye sadc wanakwenda watu makini!
 
Hakugombea sababu Mafisadi wapo hapa bongo na si huko SADC,, yeye anataka kuwaadabisha mafisadi
 
God cares. Nakuhakikishia umoja ktk dhambi ni kaburi. Umoja katika haki ni UHURU. Kama watu watapingwa kwasababu ni chama fulani bila kujali wanawakilisha watu wenye chama na wasiona chama, ni dhambi. Kama ndivyo, Anguko la watendao hayo litakuwa ni gharika ya karne....

Katika haki, no negotiation. Naamini wapo wana CCM waipendao nchi yao bado wanavuta pumzi, kama mzee 6 na Dr. wa Kyela


:A S-cry:
A%20S-cry.gif
A%20S-cry.gif
A%20S-cry.gif
A%20S-cry.gif
 
Kama Tundu anafahamu vyema kuhusu Sadc,kwanini hakugombea yeye?

wewe na wewe sijuwi umekurupukia wapi....!!! Kwa hiyo ulitaka agombee ili iweje!!? muanzisha mada kasema points na vitu vyote viko hadharani siku hizi (Many thanks to the TV inventor + other supportive technology). Wabunge wa CCM wameonesha ni jinsi gani walivyo mambumbumbu...nawaonea sana huruma watoto wa wabunge waliochemka maswali ya kishule za msingi..kama bado wako shule watazomewa sana......Ile ni zaidi ya kuvuliwa nguo hadharani.
 
Mkumbusheni Bwana Lisu kwamba Singida wanataka maendeleo. Kwenda kujitafutia cheap popularity TBC1 Kwa kuuliza "gotcha questions" sio ishu wala nini.

Ushauri wa bure.

hizo ni technique za kuandaa uwanja. unajua unapokuwa na wabunge wachache wa upinzani, unahitaji hao wachache akili zinafanya kazi mara kumi zaidi ya hao wengine wa chama kikubwa (I mean kubwa jinga). kumbuka bunge lililopita kasheshe iliyotolewa na idadi ndogo ya wabunge wa upinzani, mpaka kupelekea mlipuko katika uchaguzi wa 2010. kuna baadhi ya wanaccm wanamlaumu spika Sitta kwamba aliwaruhusu mno upinzani. wanasahau kwamba ni baada ya Sitta kumkatalia Slaa kuwasilisha hoja binafsi ya ufisadi wa EPA, ndio CHADEMA walipoweka historia pale mwembeyanga. kwa hiyo sitta alijaribu kucontrol yale mafuriko, kazi ambayo Anna haiwezi kabisaa.

kwa hiyo ulichokiona hapo kwa Lissu, ni kumuweka Anna katika hali ya wasiwasi pale kwenye kiti. kwa kuwa hajui vizuri kanuni na kwa kuwa anategemea zaidi monopoly ya chama chenye wabunge wengi, na wabunge wa upinzani wanaoweza kununuliwa, na kwa kuwa kwa umri wake hawezi kujifunza na kubadilika na kuwa sharp zaidi ya vile alivyo, ataishia kuwa desperate na kufanya makosa zaidi na kutoa nafasi kwa Upinzani kufunga magoli mengi zaidi.
 
Kwa uchambuzi wa wa harakaharaka naweza kusema wabunge wa ccm 82% hawajui hata kilichowapeleka bungeni. 18% wamefata ufisadi wa mali za watanzania. Nadhani ccm ni kapu la mabumbumbu ambao elimu wanayoijua ni kupiga makofi. sasa sheria hutungwa kwa kiingereza, hawa jamaa watajua kilichoko ndani au watashangilia hata kama sheria yenyewe ni ya kuwaua. ni kama alivyosema mwalimu kuwa unadanganywa kwa kupewa kipande cha chupa badala ya almasi halafu unashangilia kama zuzu.

real huwa hawa wabunge wa ccm wananikela wanaposhangilia kila kitu hata kama bomu
 
MwnaJF Chiliwe takwimu ni declaration ya JK kwamba " NI HERI SLAA AWE RAISI KULIKO LISSU KUWA MMBUNGE"Safari hii watakoma-hawakuzoea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Najua lissu ni muongeaji mzuri sana na ndio maana wanamfananisha na wabunge 10 wa ccm*( sijui kwa vigezo gana) lakini ninacho kiona mimi ni mchuano kati ya lissu vs makinda, na tulishuhudia siku ile jinsi makinda alivyo mnyamazisha lissu kwa majibu ya short and clear, pale mgombea wa chadema alipo bebeshwa swali na injinia manyanya lilomzidi uwezo la kutomtambua rais
mi nadhani lissu aache papara atakutana na mengi sana mbeleni, asome kwanza mazingira
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom