Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
je huu usemi ni wa kweli?
Ni kauli iliyotajwa na mbunge mmoja {simkumbuki jina} ila na leo imerudiwa na mbunge wa viti maalum LUCY THOMASI MAYENGA.
Je kuna ukweli wa kauli hii?
Mana kwa upande wangu sioni cha kumkumbuka.
Ni kauli iliyotajwa na mbunge mmoja {simkumbuki jina} ila na leo imerudiwa na mbunge wa viti maalum LUCY THOMASI MAYENGA.
Je kuna ukweli wa kauli hii?
Mana kwa upande wangu sioni cha kumkumbuka.