Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Hadi alhamisi?? Kwa nini....!!limehaiirishwa mpaka alhamisi yaaani disorganized kabisa uswahili uswahili
Hadi alhamisi?? Kwa nini....!!limehaiirishwa mpaka alhamisi yaaani disorganized kabisa uswahili uswahili
Tangu nianze kufatilia siasa za Tanzania ni mara ya kwanza kwa bunge kuongozwa bila ratiba....jana kikao kimeanza spika akahairisha bunge baada ya maswali na majibu ili kutoa nafasi ya kupanga ratiba..leo kikao kinaendelea na kuna dalili ya ratiba kutojulikana kinaendelea nini baada ya maswali na majibu.Bila kuficha hii ni dalili mbaya kwa bunge na nchi kwasasa,nchi inakwenda shaghalabagala na hakuna anayestuka,na viongozi wetu wanaona mambo ni sawa tu...na wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanadai ni dalili mbaya kwa bunge kukosa ratiba maalumu.
Vipi na wewe umehama chama cha Magamba?moto mkubwa u njiani, subirini muone
Mkuu hii ni Ukwere ukwere tu.limehaiirishwa mpaka alhamisi yaaani disorganized kabisa uswahili uswahili
Nchi inakwenda shaghalabagala na hakuna anayestuka, na viongozi wetu wanaona mambo ni sawa tu...na wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanadai ni dalili mbaya kwa bunge kukosa ratiba maalumu.
Ratiba ipo ila wanaona aibu kuitaja kwani haina vipaumbele vya mambo waliyotarajiwa kujadiliwa kikao hichi.watajuta mwaka huu