only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Tangu nianze kufatilia siasa za Tanzania ni mara ya kwanza kwa bunge kuongozwa bila ratiba....jana kikao kimeanza spika akahairisha bunge baada ya maswali na majibu ili kutoa nafasi ya kupanga ratiba..
Leo kikao kinaendelea na kuna dalili ya ratiba kutojulikana kinaendelea nini baada ya maswali na majibu. Bila kuficha hii ni dalili mbaya kwa bunge na nchi kwa sasa.
Nchi inakwenda shaghalabagala na hakuna anayestuka, na viongozi wetu wanaona mambo ni sawa tu...na wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanadai ni dalili mbaya kwa bunge kukosa ratiba maalumu.
Leo kikao kinaendelea na kuna dalili ya ratiba kutojulikana kinaendelea nini baada ya maswali na majibu. Bila kuficha hii ni dalili mbaya kwa bunge na nchi kwa sasa.
Nchi inakwenda shaghalabagala na hakuna anayestuka, na viongozi wetu wanaona mambo ni sawa tu...na wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanadai ni dalili mbaya kwa bunge kukosa ratiba maalumu.