johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 713
- 692
Najiuliza sana kama Bunge letu kweli linaweza kuwa chombo kinachojitegema. waliotengeneza taratibu au kanuni za kuendesha bunge wanaweza kuthibitisha kuwa labda walikosea au walifanya makusudi kuondoa uhuru wa bunge hilo
kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini bunge letu pamoja na wingi wa wana CCM limekuwa likiedeshwa puta na serikali? pamoja na mambo mengine nimebaini kuwa chanzo kinatoka kwenye dua ya kila siku ambayo hufungua bunge
utamsikia kiongozi w abunge siku hiyo pamoja na mambo mengine akiomba kuw Eee Mungu ... umsaidie rais wetu...! Ebo! kwa mujibu wa katiba rais ni sehemu ya bunge, kwanini kumtukuza yeye?. kwanini isiwe umsaidia Jaji mkuu? N.k
kama unaanza kwa kumuaomba mungu amsaidie fulani na kumwacha fulani basi hapo kwa hakika siku yako utaifanya kuwa ya kumtukuza mtu huyo am,baye ulimwombea kwa Mungu.
nafikiri watunga kanuni za bunge waliangalie suala hili
kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini bunge letu pamoja na wingi wa wana CCM limekuwa likiedeshwa puta na serikali? pamoja na mambo mengine nimebaini kuwa chanzo kinatoka kwenye dua ya kila siku ambayo hufungua bunge
utamsikia kiongozi w abunge siku hiyo pamoja na mambo mengine akiomba kuw Eee Mungu ... umsaidie rais wetu...! Ebo! kwa mujibu wa katiba rais ni sehemu ya bunge, kwanini kumtukuza yeye?. kwanini isiwe umsaidia Jaji mkuu? N.k
kama unaanza kwa kumuaomba mungu amsaidie fulani na kumwacha fulani basi hapo kwa hakika siku yako utaifanya kuwa ya kumtukuza mtu huyo am,baye ulimwombea kwa Mungu.
nafikiri watunga kanuni za bunge waliangalie suala hili