Kila kamati inaposoma maelezo yao inataka kuondolewa kipengere cha elimu ya mbunge isiwe kidato cha nne, baadala yake kipengele hicho kisomeke awe anajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza.
Chaguzi zetu nyingi tunazifahamu,kiasi kikubwa ni pesa tu .
Ukiwa na fedha ya kuhonga takukuru wasikufuatilie na fedha ya kuhonga wapiga kura,kununua vikanga,na vitishirt
Katika karne hii tuliyopo tunahitaji viongozi wa karba hiyo kweli ?, hata kama mnaona warioba alikosea basi japo mngeweka awe hata kidato cha pili.
Huku uraiani wapo vichaa wengi tu wanao andika na kuongea kiswahili na kingereza , tutegemee kuna siku watagombea na kupita (kwani kichaa si lazima aokote makopo),sasa hilo litakuwa bunge au kituko
Kwa jinsi shule za kata zilivyo nyingi kwa nini mbunge asijiendeleze , mnamtetea nani ?
Warioba hayakuwa maoni yake alipopendekeza elimu ya mbunge iwe kidato cha nne, yalikuwa maoni yetu wananchi.
ANG ALISHO: Zingatieni vitu vya msingi vinginevyo naona kila dalili ya katiba kukataliwa
Chaguzi zetu nyingi tunazifahamu,kiasi kikubwa ni pesa tu .
Ukiwa na fedha ya kuhonga takukuru wasikufuatilie na fedha ya kuhonga wapiga kura,kununua vikanga,na vitishirt
Katika karne hii tuliyopo tunahitaji viongozi wa karba hiyo kweli ?, hata kama mnaona warioba alikosea basi japo mngeweka awe hata kidato cha pili.
Huku uraiani wapo vichaa wengi tu wanao andika na kuongea kiswahili na kingereza , tutegemee kuna siku watagombea na kupita (kwani kichaa si lazima aokote makopo),sasa hilo litakuwa bunge au kituko
Kwa jinsi shule za kata zilivyo nyingi kwa nini mbunge asijiendeleze , mnamtetea nani ?
Warioba hayakuwa maoni yake alipopendekeza elimu ya mbunge iwe kidato cha nne, yalikuwa maoni yetu wananchi.
ANG ALISHO: Zingatieni vitu vya msingi vinginevyo naona kila dalili ya katiba kukataliwa