Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,252
- 8,459
anamaanisha wapinzani ..anadai kuwa bunge limejaa wahuni wengi ndio maana anapendekeza livunje... Aliyasema haya wakati akihojiwa na mwananchi kwenye viwanja vya bunge.
Ni wabunge wa Chama gani waliojaza viti vya Bunge? Upinzani wana 80, CCM zaidi ya 230. Sasa anaposema limejaa wahuni si anamaanisha CCM ndo wahuni walojaa bungeni. Au ndo yaleyale ukishavaa yale magamba ya kijani, akili nayo inajaa kutu.
Athubutu kulivunja kama hatarejea na robo ya wabunge alionao sasa.
Sometimes hawa Magamba wanaongea pumba tu kila wakati. Uhuni, nani mhuni kat ya Mbunge anaehoji kukosekana kwa Umeme na yule anayeshangilia na kuunga mkono 100 kwa 100 hoja hata isiyo na masilahi kwa taifa.