ole wao narudia tena ole wao walete hii hoja ya kipuuzi ndo watatujua sisi mabosi wao ni wa type gani,walah hata bakora tutawatia...
yamefanywa meeengi ya kipuuz na haohao ila hamkuwatia bakora,washaona wapiga kura wao ni mazoba
ole wao narudia tena ole wao walete hii hoja ya kipuuzi ndo watatujua sisi mabosi wao ni wa type gani,walah hata bakora tutawatia...
komba lazima atakuwepo kwenye list.
Ni kitu gani kinachokufanya utuhumu kuwa ni wabunge wa ccm? Bunge lote hilo si wa CCM wala Chadema ni wababishaji tu huo ndio ukweli wenyewe na ndio sababu zaidi ubishani hakuna kinachofanyika; kimsingi hao si wabunge ni makada wa vyama wabunge karibu 90% ni vituko tu hata kuchambua bajeti hawajui hata hao wa upinzani kusoma bajeti yao wenyewe iliwashinda sasa tutasema tuna wabunge?
Chama
Gongo la mboto DSM
Spika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!
CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
komba lazima atakuwepo kwenye list.
kuwa makini mkuu usije kuongelea kitu kisichokuweponaona wabunge wameamua kuonyesha upumbavu wao na kuficha hekima yao.!
Wakifanikisha hili ndio tutazidi kuwaona wabunge wa CCM walivyo vilaza.Hata hivyo waendelee tu maana sikio la kufa halisikii dawa..Kwa nchi yenye matatizo kama hii hivi mnaweza kukaa Bungeni kujadili jambo kama hili, yaani kuonekana ama kutoonekana? upuuzi mtupu! Jengeni hoja kuonekana ama kutoonekana sio inshu!Tatizo lenu magamba badala ya kujenga hoja mnaleta vioja!!
Spika anathubutu kupokea hoja za hovyo kama hii? Wakati huwa anakataa zile zenye kujali maslahi ya Taifa. Hii ni aibu kwa watawala lakini pia litakuwa ni pigo kwa ccm.
Tumewaajiri na kama waajiri tunatatka kujua wanafanya kazi tuliowatuma?
komba lazima atakuwepo kwenye list.