nliwahi kuskia kua ajira zile
ztakua processed baada ya kuisha bunge.nashangaa hata tetesi tena
hakuna.wadau anayejua atupe hints japo kidogo.bench noma
jaman.khaaaaa...
Ujasiriamali bila capital? Aisee capital ni mzozo comrade2endelee kusubili ila 2kumbuke umri + maisha hayato2subili kama una nafac jishugulishe hata ujasliamali kidogo