Bunge lijalo ni full skendo za ngono...

Hivi kumbe hakuna hata wakulima au wafugaji japo wawili. teh teh teh teh .

Kwa nn mikoa isingengekuw na wabunge wa kundi la Mkulima bora au mfugaji bora. Kweli kilimo ni uti wa mgongo wa taifa au ndo uti wa gongo umepinda?
 
aiseee wabunge wetu wanawachakachua mabint wa UDOM,CBE na VYUO vingine DODOMA yaani ni wachakachuaji ile mbayaaaaaaa
 
Sipendi kuwa pessimistic lakini siasa za nchi hii
unajikuta mtu unakuwa pessimistic hata kama ulizaliwa
by nature optimistic kind of person.........

Nimetazama hao wabunge watarajiwa nikakosa cha kusema....

Ni kama miss tanzania imehamia kwenye bunge.......

I mean hilo kundi la vijana,na kundi la kapu sijui na kundi la
vyuo ........ukichanganya na viti maalum........

Mmoja wa hao wabunge watarajiwa anaitwa catherine magige
tayari leo hii ameshaanza andikwa na magazeti ya udaku........

Nilisema na narudia kusema hivi viti maalum tuvipige vita mpaka vifutwe.......

Kwa kweli magazeti ya udaku yatahamia dodoma.....

Na hilo bunge skendo za ngono zitakuwa ni kila siku........

Hivi kuna haja kweli ya kuwa na wasichana umri wa miaka 21-25
wawe wabunge wa viti maalum?????


Wengine bado wa anaishi na wazazi wao halafu waende bungeni

wawe waheshimiwa....wanamwakilisha nani??????????


I am more than dissapointed na hii nchi..........

Hivi wenye kufikiri straight hakuna kabisa?????????????

Naomba mkuu ufafanue hiyo niliyo highlight na red. Kwanini wasichana umri huo hawawezi kuwa bungeni? na je wavulana wa umri huo wanaweza? Asante
 
yaani aliyeanzisha topic hii kama alikuwepo kwenye mawazo yangu. viti maalum lukuki bungeni vya nini? mbona bunge hili limejaa sana vitoto vidogo? take it from me, percentage kubwa kule wanafuata mambo tofauti na ya ubunge, kule wanaona ndio mahali pekee pa kujulikana na kujipitisha pitisha kwa watu. mengi tutayasikia katika wakati huu wa utandawazi. siri hakuna siku hizi jamani, msijidanganye.


Mkuu kwa upande mwingine ni lazima tukubali kuwa hali hii inaweza kuwa na positve effect. Baadhi ya wabunge ambao walikuwa na mahudhurio hafifu wataongeza mahudhirio bungeni. Kukiwa na ma-miss wengi bungeni, no doubt bunge litakuwa la kitoto na serikali itakuwa na easy ride, on the other hand wabunge wapenda vimwana watakuwa na mahudhurio mazuri bungeni.
 
Mchangu waliokuwa wakitoka Dar na Nairobi kwenda Dodoma wakati wa vikao vya bunge wataanza kukosa soko.
 
Sipendi kuwa pessimistic lakini siasa za nchi hii
unajikuta mtu unakuwa pessimistic hata kama ulizaliwa
by nature optimistic kind of person.........

Nimetazama hao wabunge watarajiwa nikakosa cha kusema....

Ni kama miss tanzania imehamia kwenye bunge.......

I mean hilo kundi la vijana,na kundi la kapu sijui na kundi la
vyuo ........ukichanganya na viti maalum........

Mmoja wa hao wabunge watarajiwa anaitwa catherine magige
tayari leo hii ameshaanza andikwa na magazeti ya udaku........

Nilisema na narudia kusema hivi viti maalum tuvipige vita mpaka vifutwe.......

Kwa kweli magazeti ya udaku yatahamia dodoma.....

Na hilo bunge skendo za ngono zitakuwa ni kila siku........

Hivi kuna haja kweli ya kuwa na wasichana umri wa miaka 21-25
wawe wabunge wa viti maalum?????

Wengine bado wa anaishi na wazazi wao halafu waende bungeni

wawe waheshimiwa....wanamwakilisha nani??????????


I am more than dissapointed na hii nchi..........

Hivi wenye kufikiri straight hakuna kabisa?????????????




Boss, thanks for this. Hata mimi nimeliwaza hilo, ila sikuwaangalia mabinti hao kama wanawake ambao ni lazima wata-give in au wako cheap. Natazama tu jinsi wanaume watakavyokuwa busy kufukuzia visichana (ni wakware kweli kweli), na sio kusoma documents. Jamani sio siri hali haitakuwa ile ile.
Pia Dr. kashililah ajiandae, tutakuwa na Wabunge watakaoolewa na kuoa, watakaoenda maternity leave, basi ali mradi ni mabadiliko kwa kwenda mbele.
Pia naliangalia bunge lijalo kama lenye changamoto nyingi, vijana wengi wako bold na watatoa hoja zenye nguvu kidogo, ni wasomi na hawana majukumu mengi kama ya wazee ambayo nadhani (assumption) kuwa ndiyo moja ya sababu hawako siriaz..... Kweli tumechoka nao.
Bunge hilo pia lina opportunists wengi, wanaenda pale tu kupata madili na kufanya biashara zao, full stop.
 
Hivi kuna haja kweli ya kuwa na wasichana umri wa miaka 21-25
wawe wabunge wa viti maalum?????

Wengine bado wa anaishi na wazazi wao halafu waende bungeni

wawe waheshimiwa....wanamwakilisha nani??????????
Sasa wazee wakilala bungeni nani atakaye waamsha?:A S 8:
 
Wanachaguana wakiwa na Interest zao tofauti..
Wengine Interest za ngono
Wengine Ufisadi
Wengine ushabiki ..mradi Bla Bla sijui tutafika ..:confused2:
 
viti maalum a.k.a chakula ya wenye chama., thubutu kumruhusu mkeo apate ubunge wa viti maalum ndo ujue ndoa kwa heri.
 
Nilipokuwa Bongo hii hoja ya wakina mama iliwasha moto mkubwa sana. na nakumbuka ktk kipindi cha Mzee Kasongo nilisikia mahojiano baina yake na kundi la kina mama ambao kwa uhakika walikuwa vichekesho vitupu, kwa sababu walishindwa kujieleza zaidi ya kuona tofauti ya kijinsia kuorodhesha malalamiko yao. yaani ilikuwa kama vile wanaume wanapeta na kula mifedha bungeni wakati wanawake wameachwa nyuma.

Hakuna Mtanzania asiyependa kuona Bunge letu likiwa na mchanganyiko wa jinsia, dini, rangi na hata makabila lakini kama kweli tunaamini sisi wote ni watanzania na tunachohitaji bungeni ni uwakilishi kutetea haki za wananchi wetu ktk sekta hizo, sidhani kama hesabu ya wanawake wengi bungeni ndio dawa ya kuondoa ubaguzi wa aina yeyote ile.

Kinachotakiwa kuwezeshwa ni vyama vya kisiasa kutoa nafasi zaidi kwa wanawake ndani ya vyama vyao hivyo kuwawezesha kugombea nafasi za Ubunge na hata uongozi wa nchi. Kazi kubwa ya mbunge ni kuwakilisha wananchi, iwe ni ktk haki za wanawake nchini kupewa sheria ili uuwiano mzuri baina ya wanaume na wanawake upatikane huko uraiani na sio Bungeni.

Tukianza leo na maswala ya wanawake kitakachofuatia ni uuwiano wa dini, madhehebu, makabila na kadhlika kwani kwa kila kundi la watu ndani ya jamii siku zote wapo wanyonge na hao wataweka madai yao mbele ili kupata nafasi za juu ktk Uongozi.

Ni kwa kupitia mtazamo kama huu ndio tumeona matatizo nchi zoote za kiafrika. watu wanadai kuwakilishwa kwa makabila, dini au rangi hivyo kuziweka tofauti baina yao. Nchi zote za kiafrika zenye vita hadi leo ni kutokana na mtazamo wa uuwiano wa uwakilishi iwe bungeni au ktk serikali, sasa kama sisi hatujafikia kuwa na UMOJA mzuri ni rahisi sana kurudisha donda jipoya la ukabila, Udini na hata rangi.

Ni juzi tu nilikuwa natazama CNN wakizungumzia haki ya mashoga kufunga ndoa marekani na hakika wanaweza sana kujieleza lakini wachoshindwa kuelwa ni kwamba kama serikali kuu itaruhusu Mashoga kuoana, kesho na kesho kutwa wale wanaotembea na baba zao, mama zao na hata ndugu zao watakuja dai haki kisheria ya kuoana kwa sababu nao wanapendana. Na watatumia vigezo hivyo hivyo vinavyotumika leo kama ni haki yao sawa na hiyo ya mashoga ktk mapenzi.

Sii mwingine isipokuwa mimi - Msema Ovyo!
 
Naomba mkuu ufafanue hiyo niliyo highlight na red. Kwanini wasichana umri huo hawawezi kuwa bungeni? na je wavulana wa umri huo wanaweza? Asante
Sitaweza kuongozwa na mtu ambaye bado ananuka mkojo tena bado ni Friji open yaani anaishi na wazazi.

Huyu kabisa hatajua matatizo niliyonayo nikiwa kama mzazi au mkulima. Mifumuko ya bei ataijuaje wakati yeye kilo ya nyama inaletwa nyumbani na house girl?

Ni yale ya kuongoza kihisia; mtu anahisi tuu basi anaamua.
 
Skendo ndio nini? naomba definition?

nadhani kwa kuwa wengi ni waongeaji wazuri (assumption) watakuwa na arguments nyingi sana, that is without research!!
Kuwa watashiriki ngono, ni kweli na labda waandishi wa udaku watajua ni kweli, ila kama ni skendo hizo, nashindwa kutofautisha.
Lazima kuna baadhi watapata wenzi wao huko huko, haitakuwa jambo jipya bungeni nadhani.
Mie huwa napitia sana blogu ya CCM ila sikuwahi kuona tandazo tukagombee hivyo viti, nadhani ilinipita, bahati mbaya alu ilitangazwa wapi? manake hata zile SMS huwa napata, nashangaa hii sikuisikia
 
Sitaweza kuongozwa na mtu ambaye bado ananuka mkojo tena bado ni Friji open yaani anaishi na wazazi.

Huyu kabisa hatajua matatizo niliyonayo nikiwa kama mzazi au mkulima. Mifumuko ya bei ataijuaje wakati yeye kilo ya nyama inaletwa nyumbani na house girl?

Ni yale ya kuongoza kihisia; mtu anahisi tuu basi anaamua.

Kwa utaratibu huu nchi inadumazwa kwa kuwaongezea gharama walipa kodi na wavuja jasho kwa matumizi yasiyolazima. Uongozi wa Taifa ni budi uwe mikononi mwa watu wa umri wa kati na kuendelea. Ndipo tutaweza kudumisha Taifa letu. Kulifanya Bunge liwe genge la siasa badala ya kuwa Kinu cha kusindika kani ya uongozi ni kuliua Taifa na Nchi kwa ujumla. Ninachokiona hapa ni Uongozi wetu wa taifa kutaka sifa kutoka Mataifa wafadhili. Mtakumbuka Misamiati kama vile MKUKUTA/MKUKUZA, Millenium Development Goals (MDGs), Vision 2025, 50-50 na zinginezo. Kauli hizi si kwa masilahi yetu bali kuwaridhisha wakubwa ili waendelee kutoa misaada wakati wanachukua raslimali zetu kilaini. Sijui kwa nini hawa watu hawawezi kuona mpaka sijui wapewe ving'amuzi. Kazi ipo.Wasomi toeni michango yenu ya kitaalamu tulinusuru taifa kutoka mikononi mwa fikra potofu. Mungu awabariki.
 
ingekuwa vyema hawa wanaochaguliwa viti maalum wafanyiwe midahalo kuwapima uwezo wao wa kuongea, intelligence yao etc. na hapo itagundulika kuwa kweli wana uchungu na nchi YETU YA TANZANIA, WANA NIA YA KUWATETEA NA KUWAKILISHA WANANCHI WENGINE (JAMII) wako serious na wanachotaka kufanya au JUST FOR FUN, JUST FOR MAKING MONEY ETC. NADHANI KABLA YA KUTEULIWA WANGEANGALIA CVs ZAO - MAADILI ETC. kwani MWAKILISHI AWE WA KUCHAGULIWA AU KUTEULIWA INABIDI AKUBALIKE.

WAKATI FULANI NILISIKIA VINAITWA VITI MAALUM AU VYA UPENDELEO????? ......... wako wanawake wengi sana wenye sifa ila wako straightforward sana kiasi ambacho siasa hawaiwezi (majungu, ushirikiana, upendeleo, uongo..................... etc) maybe I am wrong - I stand to be corrected!!!
 
Watu wanasema tuwape vijana nao wajaribu maji yatakapo mwagika ndo basi tena.
Lakini kumbukeni samaki mmoja akioza..........
 
Ndugu hao wamewekwa na mkulu kama vipoozeo ...sio wao so tukiingia deep sana tutafukua yasiofukuliwa
 
Mkuu kwa upande mwingine ni lazima tukubali kuwa hali hii inaweza kuwa na positve effect. Baadhi ya wabunge ambao walikuwa na mahudhurio hafifu wataongeza mahudhirio bungeni. Kukiwa na ma-miss wengi bungeni, no doubt bunge litakuwa la kitoto na serikali itakuwa na easy ride, on the other hand wabunge wapenda vimwana watakuwa na mahudhurio mazuri bungeni.

Wait a minute, are we really serious? Yaani kweli tunasimama na kusema tupeleke visichana bungeni ili law makers wetu waingie kwenye vikao!!! Kweli?!!!
 
lakini AC alikuwa na umri mdogo lakini niliupenda ubaya wake....hakuwa mwoga katika kusimamia anachoamini...alikuwa mwanasiasa mahiri jamani nikimlinganisha na mimama mizee iliyopo....ina kazi ya kuzuia vijaana wadogo wasijenge hoja za msingi! sijui zaidi maisha ya AC ya bungeni yalikuwaje anyway...cha msingi kama yalileta impact katika majukumu yake kama mbunge
binafsi sioni uhusiano kati ya wabunge vijana na ngono bahati nzuri mwandishi wa thread hii ameiona...mie sielewi jamani tulipo kuwa na wabunge wazee wanasinzia na tukaambiwa vijana taifa la kesho tulikataa kwa nguvu zoote..sasa vijana wanaingia bungeni tena tunakataaa tunawahusisha nia ngono
I gesi wangekuwa wanaingia wabunge wanaume vijana hili lisingesemwa hata kama wangeenda kufanya ufuska...
baadhi ya ya wanaJF tubadilike tunawachora na kuwa generolaizi wanawake wote kwa haiba mbaya sana ..umalaya..its not fair at all..ni kukoseana heshima
mix with yours

Wewe Kapwani! With due respect to the deceased(AC), tofautisha kati ya kupiga kelele na kuchangia hoja with evidence, Mimi Marehemu AC simtofautishi sana na Mama Kilango, anayepiga kelele lakini bila ya kuwa pragmatic
 
Wewe Kapwani! With due respect to the deceased(AC), tofautisha kati ya kupiga kelele na kuchangia hoja with evidence, Mimi Marehemu AC simtofautishi sana na Mama Kilango, anayepiga kelele lakini bila ya kuwa pragmatic

so unahisi wabunge wanaume ndio hawapigi kelele....you are kidingi
mix with yours
 
Its very dissapointing
sisiem imepoteza mwelekeo na wanahitaji kukaa karibu na vigori zaidi.
kwani tumemsahau Sophia Simba mwalimu wao?????????????
 
Back
Top Bottom