Bunge lijalo kuwa usharika

oooooo....no...no....no...no.......! waacheni.........hao sasa ni CUF......wana-CUF hutumia jarida hilo kujinadi kama ilivyo kwa tanzania daima/mwanahalisi naJF kwa chadema......uhurufm/uhuru gazeti ccm nk
 
nipo, naskika hata maaskofu wa znz walikataa kura ya ndio na ndio maana wanakusudia kujiunga chadema.
Source: Annur

Hizo kura Zanzibar si zilikua za siri? Hilo gazeti limejuaje kama maaskofu walipiga kura ya ndiyo au hapana? Kwa sababu kwa nijuavyo kwa Tanzania hamna mambo ya exit polls kwa hiyo hamna jinsi ya kutabiri kikundi fulani kili pigaje kura.
 
kwenye mkutano na viongozi wa kidini ktk ukumbi wa baraza la wawakilishi maaskofu walipinga watu kushawishiwa kutia ndio na nasikia walikuwa wakali sana: Source annur

Do you happen to have a link to that issue if Annur? Manaake una tumia neno sana "nasikia" which means ni kitu ambacho wewe mwenyewe bado hauja hakikisha. Uki tupa link ya hiyo issue ya hilo gazeti ita kuwa poa sana au hakuna?
 
kwenye mkutano na viongozi wa kidini ktk ukumbi wa baraza la wawakilishi maaskofu walipinga watu kushawishiwa kutia ndio na nasikia walikuwa wakali sana: Source annur

Hicho kijarida kilitaka wanachofikiri Mashehe kifanane na wanachofikiri Maaskofu? Waandishi wa kigazeti hiki ILIM yao haiwasaidii kabisa
 
sasa kama rais wa nchi ashasema kura ya ndio inafaida, wao wanahofia nini? hawataki amani?

Nani alikwambia kuwa Rais wa nchi kila siku yupo sahihi? JK aliwahi kusema kuwa tatizo la Umeme Tz litakuja kuwa historia....mpaka sasa kauli yake ndo imekuwa historia na tatizo la umeme linazidi kutamalaki. Kwahiyo kupingana na rais sio tatizo mkuu.
 
Mkuu una haki ya kutoa maoni lakini daaa!! Punguza kidogo ukali wa maneno. Hatufiki kihivyooo!!! Utambue kuwa wenye akili hiyo mbovu ni waislamu wachache sana hawafiki hata 5%. Mimi ninaamini anayeijua vizuri dini ya Kiislam hawezi kuunga mkono hicho kijarida bcoz kinachonganisha na siyo kujenga uelewano kati ya watu wa dini mbalimbali.
Sina hakika Mpuuzi anataka tuelewe nini kwenye neno lake la mwisho kabisa kwenye post yake bt kiukweli ni kazi kuishi na Waislam. Yahitaji moyo mzito wa uvumilivu
 
duhu, kama unaakili hizo bora basi tena

Mkuu pamoja na kuwa nakubaliana na sentensi yako sioni kama kweli undani wako uko hivyo. Kwa sasa ndio inaokoonekana tunakoipeleka Tanzania, polepole tunaacha kuwa watanzania tunaanza kuwa wakristo na waislamu, this is sick. Watu wanakuja na sera za ajabu sana.
 
Mkuu pamoja na kuwa nakubaliana na sentensi yako sioni kama kweli undani wako uko hivyo. Kwa sasa ndio inaokoonekana tunakoipeleka Tanzania, polepole tunaacha kuwa watanzania tunaanza kuwa wakristo na waislamu, this is sick. Watu wanakuja na sera za ajabu sana.
MS na mwislamu mwenzao JK wanatugawa watz kwa misingi ya dini
 
mi nakuunga mkono kwa asilimia zote zilizopo, watu waache kutoa mawazo finyu ya udini, na kama wakiristo au waislamu hawakugombea, na hata kama wamegombea na hawakuchaguliwa isiwe ni wakaa pembeni kutoa tathmini, na kuchochea kuwa kuna udini , kuna baadhi ya waumini wa dini fulani fulani huwa hawathubutu kugombea nafasi, lakini ni wapiga kelele.

hapo daraja mbili(kata) mojawapo ya 19, kuna diwani muislamu ameshinda kwa kishindo lakini hajasoma hadi la saba hajafika, na kuna wagombea wenzake wenye elimu za juu na ni wakiristo hawakupita je hili utalitolea upembuzi gani?

kweli dini, na ukabila ni sumu katika jamii.
 
Re: Bunge lijalo kuwa usharika
mi nakuunga mkono kwa asilimia zote zilizopo, watu waache kutoa mawazo finyu ya udini, na kama wakiristo au waislamu hawakugombea, na hata kama wamegombea na hawakuchaguliwa isiwe ni wakaa pembeni kutoa tathmini, na kuchochea kuwa kuna udini , kuna baadhi ya waumini wa dini fulani fulani huwa hawathubutu kugombea nafasi, lakini ni wapiga kelele.

hapo daraja mbili(kata) mojawapo ya 19, kuna diwani muislamu ameshinda kwa kishindo lakini hajasoma hadi la saba hajafika, na kuna wagombea wenzake wenye elimu za juu na ni wakiristo hawakupita je hili utalitolea upembuzi gani?

kweli dini, na ukabila ni sumu katika jamii.
 
hiki kigazeti wandishi wake wenyewe wana ilimu ya madrassa tu,
harafu kimekaa kichochezi sana,
kwani waislamu/wapagani ni wengi hawana elimu bali wana ilimu tu
sasa wapi watoke wa kushindana na wenye elimu??????????????????

Hivyo unatumia lugha gani yagheee! Inaonyesha wewe hata hiyo ya madrasa huna kwani hujui hata Kiswahili???
 
Nafikiri mtu alie makini hatoshughulika na maoni finyu ya gazeti au mwandishi. Ni kosa kutukana dini kwa jumla eti mkosa akili mmoja ameamuwa kujionyesha mbele ya watu.

Hali za vyama na jiografia za majimbo zinalazimisha matokeo ya watu wa dini au kabila fulani kuchukuwa nafasi kubwa katika safu za kugombea. Hebu hilo gazeti na liulizwe iwapo CUF watakuwa na wabunge wengi jee bunge litakuwa ni kitu gani badala ya usharika?
 
Some people who call themselves journalist are suffering from spriritual amnesia. Lets's leave them alone!!
 
Back
Top Bottom