VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kimsingi,nimelimiss sana Bunge la Tisa lililoongozwa na Samwel Sitta kwakuwa lilikuwa Bunge la viwango(mijadala motomoto kwa mustakbali wa Taifa letu).Hili la sasa limejaa vijembe na miongozo ya Spika.Wana JF,tatizo la Bunge letu la sasa la Kumi liko wapi?