Bunge letu na mahudhurio ya aibu!

"Akidi kwakila kikao cha Bunge wakati wakufanya maamuzi itakuwa ni nusu yawabunge wote."Napenda kufahamu kwamba kulikuwa na maamuzi gani ya kufanya kulingana na Kanuni ya 77 (1) maana naona kuna maneno "wakati wa kufanya maamuzi?"
Kwa hiyo kama siku hiyo hakuna maamuzi yeyote ni sawa tu bunge kuendelea hata kama kuna wabunge wawili Mrema na Wassira tena wamelala.
 
Kwa hiyo kama siku hiyo hakuna maamuzi yeyote ni sawa tu bunge kuendelea hata kama kuna wabunge wawili Mrema na Wassira tena wamelala.
Mimi nauliza swali kwamba kulikuwa na maamuzi gani kulingana na Kanuni ya 77(1) na wewe unaniuliza swali badala ya kujibu swali!
 
Kuvunja kwa makusudi kanuni za bunge ni kosa la jinai kuanzia leo. Na wahusika wote wapigwe risasi hadharani. Order.FaizaFoxy.
Na wewe nawe! Usiwe unafanya mizaha kwenye mijadala ya maana! Haya tuambie Sheria gani inayoruhusu watu kupigwa risasi hadharani eti kwa "kosa la jinai!"
 
Siku zote wabunge ktk shughuli na mijadala yao wanafanya maamuzi either directly or indirectly, ikiwa kama idadi hiyo ya wabunge haijatimia ni hatari sana kwa nchi.
 
Siku zote wabunge ktk shughuli na mijadala yao wanafanya maamuzi either directly or indirectly, ikiwa kama idadi hiyo ya wabunge haijatimia ni hatari sana kwa nchi.
Ni maamuzi gani hayo yaliyofanywa jana? Hatuzungumzii vikao vya siku zote, ni cha jana tu!
 
Kuvunja kwa makusudi kanuni za bunge ni kosa la jinai kuanzia leo. Na wahusika wote wapigwe risasi hadharani. Order.

FaizaFoxy.

Poor thinking...Kazi yako ni kupoteza mwelekeo wa kila mjadala. May God help ur mind to open widely
 
Back
Top Bottom