Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Pole sana mtani, najua usimba ndio unaokusumbua, ila jifunze kujua kuwa Yanga ni timu ya Tanzania hivyo ina haki ya kwenda Bungeni kama watanzania wengine. YANGA DAIMA MBELE.........
Well said Mkuu na kwa kuongezea tu,
Club ya Taifa iliyoipeperusha bendera ya Taifa vizuri kwa kuzishinda team za mataifa mengine zaidi ya 10