Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Wadau,
mara nyingi spika ama wenyeviti wabunge hulalamika kuwa muda wa kuchangia wa wabunge ni mchache kwa hoja mbalimbali na hili hudhihirika hata kwa wachangiaji kujikuta wakipigiwa kengela za kukatizwa michango yao
pia hoja nyingi binafsi kama hii ya fao la kujitoa ya SSRA pia ni yamkini zikakosa kujadiliwa kutokana na kutokuwa na muda wa
Tukirudi nyuma kuhusiana na hoja yangu kama thread heading inavyosema inashangaza bunge hilohilo lisilopata muda wa kujadili mambo mbalimbali ya msingi kwa taifa na watanzania huweza kupata muda wa kuingiza makombe ya vilabu(not national team) na kuanza kupigana vijembe
Wadau wenye upeo katika medani za kimataifa ni bunge lipi jingine ulimwenguni hufanya hivi?
Spika hukatiza hoja za wabunge na kuanza kutumia dakika kadhaa kutambulisha wanafamilia wa wabunge!
Mawaziri kutumia muda mwingi kuwataja wachangiaji kwa majina....je haitoshi kutaja idadi tu ya wachangiaji wa maandishi na wa mdomo?
Enyi wabunge are you serous kweli na TIME...dou you value muda wenu kweli na kujali gharama zinazoteketea kila siku huku serikali hiyo hiyo ikishindwa kuwakimu walimu,askar,madaktari na watumishi wengine
Lets wake up in this deep sleep and utilise the valuable time for essential issues
Spika na waheshimiwa MPs kama mnapita humu hebu msitupotezee muda kesho na makombe mjengoni mjue tunawaona na 2015 is at your door step
Enyi wabunge makini tusaidieni kwa hili....ama wenzangu Mnalionaje hili??
Pls tuchangie bila kuweka uYanga na uSimba....
mara nyingi spika ama wenyeviti wabunge hulalamika kuwa muda wa kuchangia wa wabunge ni mchache kwa hoja mbalimbali na hili hudhihirika hata kwa wachangiaji kujikuta wakipigiwa kengela za kukatizwa michango yao
pia hoja nyingi binafsi kama hii ya fao la kujitoa ya SSRA pia ni yamkini zikakosa kujadiliwa kutokana na kutokuwa na muda wa
Tukirudi nyuma kuhusiana na hoja yangu kama thread heading inavyosema inashangaza bunge hilohilo lisilopata muda wa kujadili mambo mbalimbali ya msingi kwa taifa na watanzania huweza kupata muda wa kuingiza makombe ya vilabu(not national team) na kuanza kupigana vijembe
Wadau wenye upeo katika medani za kimataifa ni bunge lipi jingine ulimwenguni hufanya hivi?
Spika hukatiza hoja za wabunge na kuanza kutumia dakika kadhaa kutambulisha wanafamilia wa wabunge!
Mawaziri kutumia muda mwingi kuwataja wachangiaji kwa majina....je haitoshi kutaja idadi tu ya wachangiaji wa maandishi na wa mdomo?
Enyi wabunge are you serous kweli na TIME...dou you value muda wenu kweli na kujali gharama zinazoteketea kila siku huku serikali hiyo hiyo ikishindwa kuwakimu walimu,askar,madaktari na watumishi wengine
Lets wake up in this deep sleep and utilise the valuable time for essential issues
Spika na waheshimiwa MPs kama mnapita humu hebu msitupotezee muda kesho na makombe mjengoni mjue tunawaona na 2015 is at your door step
Enyi wabunge makini tusaidieni kwa hili....ama wenzangu Mnalionaje hili??
Pls tuchangie bila kuweka uYanga na uSimba....