Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Bunge la Kenya limeonyesha makali yake kwa kukataa kuburutwa na mahakama Kuu ya huko ambayo iliamua uteuzi wa Kibaki ulikiuka katiba ya nchi hiyo.......................
bunge hilo kupitia Spika wake kenneth marende limeamua kamati za Bunge ziendelee na kuchunguza uhalali wa teuzi hizo bila ya kukwaza na maamuzi ya kimahakama.........................
Hapa kwetu hata DOWANS haijaamuliwa serikali ya JK imelipiga stop Bunge lisijadili hoja ya Kafulila kwa madai ya kuwa suala lipo Mahakamani..................................hii inamaanisha bunge letu kumbe ni nyanya mbovu mbele ya mahakama zetu?
Jingine kujadili DOWANS kwa bunge siyo lazima kujadili kama walipwe au la ila ni kuchunguza ni watendaji gani serikalini waliotufikisha hapa na kuaamua hatua za kuwachukulia jambo ambalo High Court kamwe haitalichunguza.......................
Kinachojitokeza hapa serikali ya CCM inajaribu kutumia vibaya mgawanyo wa madaraka kati ya Bunge na Mahakama kama kisingizio cha kulizuia bunge lisifanye kazi ambayo tuliwachagulia kwenda kuifanya.........................kuzuia accountability..............under the ruses of constitutional separation of powers................How absurd........................................
bunge hilo kupitia Spika wake kenneth marende limeamua kamati za Bunge ziendelee na kuchunguza uhalali wa teuzi hizo bila ya kukwaza na maamuzi ya kimahakama.........................
Hapa kwetu hata DOWANS haijaamuliwa serikali ya JK imelipiga stop Bunge lisijadili hoja ya Kafulila kwa madai ya kuwa suala lipo Mahakamani..................................hii inamaanisha bunge letu kumbe ni nyanya mbovu mbele ya mahakama zetu?
Jingine kujadili DOWANS kwa bunge siyo lazima kujadili kama walipwe au la ila ni kuchunguza ni watendaji gani serikalini waliotufikisha hapa na kuaamua hatua za kuwachukulia jambo ambalo High Court kamwe haitalichunguza.......................
Kinachojitokeza hapa serikali ya CCM inajaribu kutumia vibaya mgawanyo wa madaraka kati ya Bunge na Mahakama kama kisingizio cha kulizuia bunge lisifanye kazi ambayo tuliwachagulia kwenda kuifanya.........................kuzuia accountability..............under the ruses of constitutional separation of powers................How absurd........................................