Bunge lavunjwa

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Rais Kikwete atavunja Bunge leo kuashiria kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Jambo moja ambalo nimeamini lina make sense kuanzia sasa ni kuwa hakutakuwa na uhalali wowote wakufanya tena vikao vya bajeti kwa miezi mitatu kama tunaweza kuvifanya kwa wiki tano na tena tukanikisha vizuri. Kwa hili Bunge imeonesha njia ya kufuata.


Tunasubiri kusikia/kuonahotuba ya Kikwete ya kuvunja Bunge itakavyokuwa na majigambo ya mafanikio ya serikali yake. Lakini zaidi ni nahamu ya kusikia maono yake ya Bunge jipya yatakuwaje. Kuna baadhi ya wabunge ambao kwa kweli sitosikitika kama hawatorudi Bungeni na wengine wasiporudi itakuwa ni masikitiko.

Vyovyote vile ilivyo, leo yawezekana ni mwanzo wa mabadiliko tunayoyataka; au yaweza kuwa ni marudio ya tulikotoka.

Tusubiri Vitu!
 
Asante Mwanakijiji kwa hii info. Kwa ratiba ilikuwa inaonyesha ya kwamba bunge lilikuwa limalize vikao vyake 07/30/2010. JK anavunja hilo Bunge saa ngapi leo?
 
Rais Kikwete atavunja Bunge leo kuashiria kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Jambo moja ambalo nimeamini lina make sense kuanzia sasa ni kuwa hakutakuwa na uhalali wowote wakufanya tena vikao vya bajeti kwa miezi mitatu kama tunaweza kuvifanya kwa wiki tano na tena tukanikisha vizuri. Kwa hili Bunge imeonesha njia ya kufu


Tunasubiri kusikia/kuonahotuba ya Kikwete ya kuvunja Bunge itakavyokuwa na majigambo ya mafanikio ya serikali yake. Lakini zaidi ni nahamu ya kusikia maono yake ya Bunge jipya yatakuwaje. Kuna baadhi ya wabunge ambao kwa kweli sitosikitika kama hawatorudi Bungeni na wengine wasiporudi itakuwa ni masikitiko.

Vyovyote vile ilivyo, leo yawezekana ni mwanzo wa mabadiliko tunayoyataka; au yaweza kuwa ni marudio ya tulikotoka.

Tusubiri Vitu!

Bunge linavujwa rasmi tarehe 1.8.2010 leo anahutubia bunge kwa mara ya tatu toka ashika madaraka ya juu nchini mwetu
 
Hilo kwake sio kubwa sana kuongea bila pingamizi lolote ni bingwa sana.

Hivi jamani hivi kukodi saa moja na nusu muda wa luninga inaweza kuwa kama ni Tshilling Ngapi vile? Hivi kwa nini jamani sisi watu wa jamii forums tusiandaye mdahalo mwaka huu na at least kufanya kitu fulani zaidi ya kubwabwaja tu. Kwa mfano ikiwa ni TZS 30m Itahitaji watu kama 200 hivi kuchanga kama dola $100. Kama mgombea wa CCM hataonekana basi na iwe hivyo lakini sisi tuwe tumefanya kazi yetu.
 
Shalom.. hilo pendekezo si itabidi lipigiwe kura na wana JF wote, na wengi wataanza kupinga kwanini JF inafanya hivyo kwa sababu itatishia usalama wao? Maana kwenda tu Bungeni imekuwa vurugu ingekuwa ni kupanga midahalo ya wagombea si ndo ingekuwa songombingo
 
......... Kuna baadhi ya wabunge ambao kwa kweli sitosikitika kama hawatorudi Bungeni na wengine wasiporudi itakuwa ni masikitiko.............

Tusubiri Vitu!

MM thanks, you have gone an extra mile. Wataje basi kwa majina, ngoja nikusaidie wachache....
1.Fuya Kimbita will be replaced by Mr. Mbowe
2.Charles Keenja will be replaced by John Mnyika
3.Mchungaji Mwanjali will be replaced by Advocate Sambee Shitambala
4.Monica Mbega replaced by Mchungaji Peter Msigwa
5.
6.
7.
 
Umenistua sana MKJJ kumbe kulikuwa na bunge linaendelea mimi nilidhani ule mkutano wa sisiem ndio leo unavunjwa na Kikwete maana ulifunika mambo yote ya bunge.
 
Hilo kwake sio kubwa sana kuongea bila pingamizi lolote ni bingwa sana.

Hivi jamani hivi kukodi saa moja na nusu muda wa luninga inaweza kuwa kama ni Tshilling Ngapi vile? Hivi kwa nini jamani sisi watu wa jamii forums tusiandaye mdahalo mwaka huu na at least kufanya kitu fulani zaidi ya kubwabwaja tu. Kwa mfano ikiwa ni TZS 30m Itahitaji watu kama 200 hivi kuchanga kama dola $100. Kama mgombea wa CCM hataonekana basi na iwe hivyo lakini sisi tuwe tumefanya kazi yetu.
.
Maximum concetration ya live politic on TV ni one hour.
One Hour live on ITV, TZS-8,000,000
One Hour live on Star TV, TZS-6,000,000
One Hour live on TBC, TZS-4,000,000
 
Bunge linavujwa rasmi tarehe 1.8.2010 leo anahutubia bunge kwa mara ya tatu toka ashika madaraka ya juu nchini mwetu
Nyuki, Bunge linavunjwa rasmi leo, ila uhai wa Bunge hili, unaisha 31, July, 2010. Hii inamaanisha wabunge wanaweza kuendelea na shughuli za kibunge mpaka muda huo. Kuanzia 1/08/2010 wanakuwa sio wabunge tena. Makatibu Wakuu ndio waendeshaji wa mawizara huku Mawaziri wanaendelea kinyemela kwa magari yao kuondolewa vibao vya uwaziri na kupigwa STH, ila hawaruhusiwi kuyatumia kwenye shughuli za kisiasa.
 
.
Maximum concetration ya live politic on TV ni one hour.
One Hour live on ITV, TZS-8,000,000
One Hour live on Star TV, TZS-6,000,000
One Hour live on TBC, TZS-4,000,000

Asante Pasco kwa taarifa. Si unaona sasa TZS 8,000,000 tu. Nadhani tunahitaji watu 80 tu kuchangia laki moja na mdhalo unakuwa hewani ila unabidi uwe saa moja na nusu kwa experience yangu.
 
Asante Mwanakijiji kwa hii info. Kwa ratiba ilikuwa inaonyesha ya kwamba bunge lilikuwa limalize vikao vyake 07/30/2010. JK anavunja hilo Bunge saa ngapi leo?
Kikao cha kuvunja bunge kitaanza leo mnamo saa kumi jioni
 
Shalom.. hilo pendekezo si itabidi lipigiwe kura na wana JF wote, na wengi wataanza kupinga kwanini JF inafanya hivyo kwa sababu itatishia usalama wao? Maana kwenda tu Bungeni imekuwa vurugu ingekuwa ni kupanga midahalo ya wagombea si ndo ingekuwa songombingo

Mwanakijiji huu uwoga wetu ndiyo unaotufanya tunakuwa nyuma hata ya Kenya, Rwanda na Uganda. Je tuwaaachie waoga watutawale! au baazi yetu tuwe kama Kalebu na kuanza kuona mwisho kutoka mwanzo?
 
Mwanakijiji huu uwoga wetu ndiyo unaotufanya tunakuwa nyuma hata ya Kenya, Rwanda na Uganda. Je tuwaaachie waoga watutawale! au baazi yetu tuwe kama Kalebu na kuanza kuona mwisho kutoka mwanzo?

Hili ni wazo zuri na kwa kweli inabidi tuufike mahali tuondoe woga, kisha wana JF tufahamiane, tujipange, na kisha tuandale mdahalo. 8M si hela nyingi sana: consider this inspirational poem by C. W. Longenecker:

If you think you are beaten, you are.
If you think you dare not, you don't.
If you like to win but think you can't,
It's almost a cinch you won't.
If you think you'll lose, you're lost.
For out in the world we find
Success begins with a fellow's will.
It's all in the state of mind.
If you think you are out classed, you are.
You've got to think high to rise.
You've got to be sure of your-self before
You can ever win the prize.
Life's battles don't always go
To the stronger or faster man.
But sooner or later, the man who wins
Is the man who thinks he can.


If anyone can, JF can!
 
MM thanks, you have gone an extra mile. Wataje basi kwa majina, ngoja nikusaidie wachache....
1.Fuya Kimbita will be replaced by Mr. Mbowe
2.Charles Keenja will be replaced by John Mnyika
3.Mchungaji Mwanjali will be replaced by Advocate Sambee Shitambala
4.Monica Mbega replaced by Mchungaji Peter Msigwa
5.
6.
7.

.
5Amani Karume will be represented by Maalim Seif
 
MM thanks, you have gone an extra mile. Wataje basi kwa majina, ngoja nikusaidie wachache....
1.Fuya Kimbita will be replaced by Mr. Mbowe
2.Charles Keenja will be replaced by John Mnyika
3.Mchungaji Mwanjali will be replaced by Advocate Sambee Shitambala
4.Monica Mbega replaced by Mchungaji Peter Msigwa
5.
6.
7.
Mkuu mbona umeonw wachadema tu? Au wewe ndo wale wale?
 
Naomba kuuliza wakuu, ivi bunge likivunjwa mfano trh 31/07/ je na rais aliyepo madarakani nae anaendelea kuwa rais au naye kikomo chake kitakua kimefika mpaka baada ya uchanguzi na kuapishwa?

Na kama kikomo cha urais unaishia baada ya kuvunjwa bunge, mbona Mh rais mstaafu Mkapa aliongezewa muda (japo tunajua ni kwasababu ya kifo cha mgombea mweza) wa kuongoza nchi? wakati huo si bunge lilikua limevunjwa!.
 
Ismail Jussa bila shaka atakuwa Rais wa Znz na Tundu Lissu Rais mteule wa Tanganyika katika kipindi cha mpito kuelekea Sirikali tatu.
 
Back
Top Bottom