Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 140
Ukweli Lema aliomba muongozo na hakumtuhumu waziri mkuu.ila kwasababu ya udenti na jazba za kitimaalum spika,kila jambo analipeleka kidikteta.Slaa unajua mengi na ukweli wote wa Arusha.baada ya Lema kusema,ntafurahi kukuona ukizungumza.hatuwezi kukubali kuona pinda anachafua chama flan kwa interest zake binafsi eti kisa ye waziri mkuu.Haihuu...