Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Jamani hebu nipeni nini hasa tatizo la spika katika hilo la lema?.
Lema kaomba muongozo wa spika kuwa mbunge afanye nini iwapo mtu mkubwa kama PM anadaganya bunge na umma. muongozo aliopewa ni kuwa alete ushahidi wa kina wa maelezo kuthibitisha uongo wa PM
Mengineo yalikua ni maangalizo tu, kunalugha za kiungwana za kutumia.
Yawezekana spika ana mapungufu yake kama ailiyonayo mtu yoyote lakini kwa uendeshaji wa bunge hili bado hizo tuhuma zilizo jazwa ktk hii thread sijaziona zaidi ya inferiorty complex na ushabiki wa kisiasa, after all sitegemei hata sikumoja kama itatokea kumsifia spika kwa lolote.
Tulieni acheni jazba muda bado upo wa kutosha
Tofautisha:
1. Lema anafikiri PM kasema uwongo.
2. Spika anafikiri Lema amemtuhumu PM kuwa ni muongo!
Spika anataka kumuadhibu Lema kwa kumtuhumu PM
LAKINI:
Ni kweli PM kasema uwongo ?...Spika hana uhakikika kwani Lema alikuwa hajajieleza wala kuuleza Uwongo wenyewe.
Ni kweli Lema kasema uwongo? Spika hana ushahidi ... maana Lema alikuwa hajaJieleza...
Spika yuko sahihi kivipi?